Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Kwenye video hapa chini kinaonekana kivuko ambacho kipo upande wa Mwibara. Kilitoka Ukerewe kwenda Mwibara ambapo kimemuacha ndugu Lissu akiwa Ukerewe kwenye mkutano. Yani Lissu amefika Ukerewe na kivuko kikatoka Ukerewe (Na tuliambiwa kuwa ni kibovu)

Tazama mbele ya kivuko yanaonekana magari. Magari haya ni pamoja na gari la Tundu Lissu (Prado nyeupe) na magari mengine ya msafara wa Lissu ambayo walitaka kuyavusha kwa kutumia kivuko hicho kutoka Mwibara kwenda Ukerewe. Sasa kwa kuwa waliambiwa kuwa kivuko ni kibovu, wakamua kuyaacha magari yao hapo (kama yanavyoonekana) kisha wakaenda zao Ukerewe kwa kutumia Mtumbwi.

Sasa ajabu kivuko kimetoka Ukerewe kimefika Mwibara hatimaye wameshindwa kushusha mizigo na mabasi waliyopaki ndani ya kivuko kwa kuwa magari ya msafara wa Lissu yaliachwa hapo na madereva wote wameenda Ukerewe pamoja na Lissu (Yame block njia).Sasa wanalazimika kusubiri hadi atoke Ukerewe ndipo waje watoe hayo magari ili kivuko kiweze kushusha mizigo na hayo mabasi.

Angalizo: Tundu Lissu aliambiwa kuwa kivuko ni kibovu na kwa leo kisingefanya kazi kabisa!

Swali, hapo nani kacheza kitoto?
View attachment 1599922
Hii inaitwa Mbwa kala Mbwa
 
1 haikai 2 haiingii 3 haigawanyiki
Na Lindi hakuendeki nasikia
Tafadhali makofi kidogo kwa Lissu
Kila uchao mambo yanaji-sett yenyewe kwa Lissu. Thanks God
Huyu Mungu mwacheni aitwe Bwana.

Hivi hawa watu hawajaelewa tu kuwa Lissu hatumii nguvu zake mwenyewe?? Lissu ana extra mysterious power
 
Hivi unajua Lissu anagombea Urais na anataka awe Rais wa Jamhuri. Hiki alichofanya ni ujinga na amethibitisha Hana Busara hata kidogo. Sasa hapo amemkomoa nani Kama siyo hao Wananchi ambao anataka wampigie kura awaongoze
Lissu alikuwa anakimbizana na muda huku mtumbwi ukimuacha. Na alishaambiwa siku ya leo hakifanyi kazi na hakina ratiba yoyote kutokana na ubovu.
 
Ni ulize Swali Hivi Kivuko ni Cha CCM, serikali au mtu Binafsi. Kwa nini roho Mbaya CCM wanafanya. Hivi Mgemwacha akapanda Kivuko na kwenda kuonana na watanzania wenzake ndo mngepungukiwa nini. Ijulika Fujo za Nchi Hii Chanzo itakuwa CCM...Mungu anawaona CCM. Yaani Chuki, Visasi, uonevu na kila aina ya dhuruma ni CCM,,,Daaa!!!
Hofu ya kushindwa uchaguzi ni mbaya sana.
 
Hapo sasa anamkomoa nani zaidi yakuvuruga shughuli za wananchi tu.

Halafu hao halmashauri si waite tow trucks shida ipo wapi Lissu akirudi akute magari yake yamebebwa wayafuate ndani ya compound za halmashauri na fine juu za kupaki katikati ya njia; ukiamua unafunga na ofisi zenyewe mapema harudi kesho.

Heck wenye kivuko wakiamua wanamfungulia na kesi ya madai for loss of income of kwa kuzuia shughuli zao.

Vitu vingine ni upuuzi tu, jamaa zero kweli.
 
Ni kulipia cost of loss wasipolipa magari yatashikiliwa hadi walipe au yatapigwa mnada na madalali wa mahakama.

Ila gharama watatakiwa kulipa si kwa wamiliki kivuko tu Bali na wenye magari binafsi waliokuwa blocked

Ofisi ya dereva yeyote ni kwenye gari hao madereva wa Lisu waliondokaje na kuachia ofisi zao au magari yao kwa kivuko? Wenye kivuko andaeni invoice haraka wakija tu hapo loss yote walipe na wenye magari binafsi blocked daini fidia
Vipi inafurahisha eeh! Mkuki kwa nguruwe
 
Lissu ndiye anaendesha hayo Magari!
Lissu alikuwa anakimbizana na muda huku mtumbwi ukimuacha. Na alishaambiwa siku ya leo hakifanyi kazi na hakina ratiba yoyote kutokana na ubovu.

Uliloko kajekudya.
 
Na hizi zinaturikia vipi?? Mikutano ya Lissu inayofurika habari wanazipata wapi??
Liss the Great
Sasa kama akina Lisu waliambiwa kibovu ikitakiwa washushe magari yao.Kwa nini waliyaacha kwenye ferry? Inahoonekana yalipoingia magari wao wkasepa kutafuta kick vyombo vya habari

Tuashukuru vyombo vingi vya habari kugoma kurusha kick zao feki
 
Hivi unajua Lissu anagombea Urais na anataka awe Rais wa Jamhuri. Hiki alichofanya ni ujinga na amethibitisha Hana Busara hata kidogo. Sasa hapo amemkomoa nani Kama siyo hao Wananchi ambao anataka wampigie kura awaongoze
Amewakomoa wenye kivuko, hawatafanya biashara

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hivi unajua Lissu anagombea Urais na anataka awe Rais wa Jamhuri. Hiki alichofanya ni ujinga na amethibitisha Hana Busara hata kidogo. Sasa hapo amemkomoa nani Kama siyo hao Wananchi ambao anataka wampigie kura awaongoze
Walisema kivuko ni kibovu
 
Back
Top Bottom