Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Kisorya -Ngoma Ukerewe kivuko ni kimoja tu, kikiwa upande mmoja was upande was pili mnalazimika kusubiri! Sasa Kama kweli waliambiwa kivuko hakitakuwepo siku nzima ya leo inachosha kufikiri sababu nafahamu idadi kubwa ya watu wanaovuka hapo Kila siku, ndiyo kwetu huko, tofauti na kuchelewa, mawimbi, Sina kumbukumbu ya siku wananchi waliwahi pewa taarifa hiyo. Miaka ya 1998+ watu binafsi walijaribu kuvusha watu kwa kutumia mitumbwi ya engine haikuchukua muda mrefu wakapigwa marufuku, hivyo kivuko hicho tu ndiyo hufanya kazi hiyo.
Hiyo ni version ya CDM nini kilichojiri there is another side to the story ili iwe balanced.

Lakini kwa vyovyote kuzuia njia ni kosa.
 
Sasa kama akina Lisu waliambiwa kibovu ikitakiwa washushe magari yao.Kwa nini waliyaacha kwenye ferry? Inahoonekana yalipoingia magari wao wkasepa kutafuta kick vyombo vya habari

Tuashukuru vyombo vingi vya habari kugoma kurusha kick zao feki
Hujaelewa story!
 
kwaiyo kwa akili zako timamu unahisi hii kesi ikifunguliwa nani atashitakiwa? Lissu au?
Chaguo ni lao, Lissu ama CDM it doesn’t matter.

Binafsi ningeenda na ‘vicarious liability’ ya kuishitaki CDM ili mbowe asikie maumivu ya kutumia hela za chama ovyo kisa maamuzi ya kipuuzi anayofanya Lissu kwenye campaign.

Isitoshe kumshtaki Lissu anaweza kusuasua kulipa, wakati CDM wana asset za kutosha wakisuasua unaweza omba mahakama ukamate ata magari ya M4C kufidia hasara.
 
Chaguo ni lao, Lissu ama CDM it doesn’t matter.

Binafsi ningeenda na ‘vicarious liability’ ya kuishitaki CDM ili mbowe asikie maumivu ya kutumia hela za chama ovyo kisa maamuzi ya kipuuzi anayofanya Lissu kwenye campaign.

nenda sasa ukashtaki kwani unashindwa nini?
 
Subiri uone kitakachotokea hapo! Usifikiri Lisu ni mkubwa sana hapa nchini
Boss wako pale magogoni anamuogopa hata kumtaja jina. Lissu is a worst nightmare to Meko, sembuse wewe mjinga mmoja hapa jukwaani. Lissu alone is better than the entire CCM campaign team and that includes even you whore. That's how great Lissu is!!
 
Chuki zako wala hazisaidii, majuz TAL alipigwa risasi naamini wewe na mkweo mlikaa kimya chumban mkifurai lkn hapa unakuja juu kama lubundo,
Kwan wewe wajua nini kingetokea kama chadema nao wangeamua kulipa kisasi??

Ukiwa mjinga jitahidi husiuweke ujinga wako hadharani
Na hao watu wakiamua wawe Wapumbavu Kama yete unajua Nini kitatokea kwenye hayo Magari.Halafu eti huyu ndiye anaomba awe Rais, wakati vitu vidogo Kama hivi anashindwa kuonyesha uvumilivu wake na Busara zake. Pumba....vu kabisa huyu jamaa
 
Hata wafanyaje mwaka huu Jiwe na vibaraka wake wataondoka tu iwe jua iwe mvua.
Screenshot_20201014-164737.png
 
Msije mkapitisha tu bakuli la kuomba kuchangiwa faini.
 
Chaguo ni lao, Lissu ama CDM it doesn’t matter.

Binafsi ningeenda na ‘vicarious liability’ ya kuishitaki CDM ili mbowe asikie maumivu ya kutumia hela za chama ovyo kisa maamuzi ya kipuuzi anayofanya Lissu kwenye campaign.

Isitoshe kumshtaki Lissu anaweza kusuasua kulipa, wakati CDM wana asset za kutosha wakisuasua unaweza omba mahakama ukamate ata magari ya M4C kufidia hasara.
Bush lawyer at your best!
 
Ivi ukuambiwa kivuko ni kibovu maanake nn??
....Hakutakuwa na kivuko ivo hapo hapatatumika, nadhan mwenye kosa ni alodanganya kivuko ni kibovu na jamaa wakapanda mitumbwi akawambia safar njema wkt c kweli.
What if hao raia hapo nao wakaamua kumwaga mchuzi hapo kwenye hayo Magari!
 
Kwenye video hapa chini kinaonekana kivuko ambacho kipo upande wa Mwibara. Kilitoka Ukerewe kwenda Mwibara ambapo kimemuacha ndugu Lissu akiwa Ukerewe kwenye mkutano. Yani Lissu amefika Ukerewe na kivuko kikatoka Ukerewe (Na tuliambiwa kuwa ni kibovu)

Tazama mbele ya kivuko yanaonekana magari. Magari haya ni pamoja na gari la Tundu Lissu (Prado nyeupe) na magari mengine ya msafara wa Lissu ambayo walitaka kuyavusha kwa kutumia kivuko hicho kutoka Mwibara kwenda Ukerewe. Sasa kwa kuwa waliambiwa kuwa kivuko ni kibovu, wakamua kuyaacha magari yao hapo (kama yanavyoonekana) kisha wakaenda zao Ukerewe kwa kutumia Mtumbwi.

Sasa ajabu kivuko kimetoka Ukerewe kimefika Mwibara hatimaye wameshindwa kushusha mizigo na mabasi waliyopaki ndani ya kivuko kwa kuwa magari ya msafara wa Lissu yaliachwa hapo na madereva wote wameenda Ukerewe pamoja na Lissu (Yame block njia).Sasa wanalazimika kusubiri hadi atoke Ukerewe ndipo waje watoe hayo magari ili kivuko kiweze kushusha mizigo na hayo mabasi.

Angalizo: Tundu Lissu aliambiwa kuwa kivuko ni kibovu na kwa leo kisingefanya kazi kabisa!

Swali, hapo nani kacheza kitoto?
View attachment 1599922
Mbona huu ni mchezo wa kitoto sana; hawa watu (wenye kivuko), kweli wanazo akili timamu?

Hawa hawawezi hata kushtakiwa mahakamani?

Sio lazima Tundu Lissu ashtaki, lakini mtu wa kawaida tu aliyepata usumbufu kwa sababu za kipumbavu hizi, hawezi kutafuta haki mahakamani?
 
Bush lawyer at your best!
Tort Law inafundishwa kwenye masomo yote ya biashara, finance or management. Kama ulisoma masomo husika na ukufundishwa aspect za ‘fault liability’ nenda kadai hela yako.
 
Yeye aliacha magari pale sababu alijua kivuko leo ni kibovu hakitafika kule.... Sasa njia ya muongo fupi... Hii imedhihirisha walipanga kumnyima tu kutumia kile kivuko.....

Kila mtu ale alikopeleka mboga.
Kwa mawazo yangu,naona kama timu ya Lissu imekosea. Mwisho wa siku atakayepata tatizo si Magufuli wala CCM ni wananchi watumiaji wa hicho kivuko. Nakiri kafanyiwa roho mbaya tu ila sidhani kama anapaswa kuwa sehemu ya mkwamo kwa wananchi wengine. Mwisho wa cku kura yangu ATL kura yangu anayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom