Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Uchaguzi 2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

Hivi unajua Lissu anagombea Urais na anataka awe Rais wa Jamhuri. Hiki alichofanya ni ujinga na amethibitisha Hana Busara hata kidogo. Sasa hapo amemkomoa nani Kama siyo hao Wananchi ambao anataka wampigie kura awaongoze
Kama huelewi kaa kimya. Lissu alielezwa ipasavyo kupaki magari yote ya msafara. Tatizo waliosema kivuko kibovu hawakuwashrikisha wale waongozaji ambao waliamini ni kibovu kweli ndio maana wakayaruhusu magari kupaki Kwa siku hiyo kwani hakuna kivuko. Mungu kawaumbua. Lissu akienda ukerewe kivuko kikaondoka ukerewe kwenda mwibara, hicho kibovu ujue kufika Hamna pa kushusha mizigo kutokana na uongo wao.
 
Kwanini Lisdu afunge njia?? Haoni kuwa anawakwamisha watu! Inawezekana kweli kivuko kilikuwa kibovu lakini kimetengamaa baada ya kutengenezwa
Wacha kujitia wenda wazimu hivi kweli tunafikiriaga basi tuaandika tu hebu Mungu akutangulie kwanza
 
We we ndio huelewi magari ya msafara wa Lisu kwenye kivuko madereva hawapo hivyo wmeblock magari mengine kushuka kweye kivuko
Nani alisababisha wapande mtumbwi na kuacha magari hapo ilhali kivuko hakikuwa na tatizo?
 
Lissu anaenda lini songea? Sijasikia ratiba ya ruvuma.
 
Hivi unafikiri state house Kuna mtu bssi bipolar disorder ni ugonjwa mbaya sana .
 
IMG_20201015_230850.jpg
 
Ndio nakwambia hivi hao watanzania wangekuwa na chuki kweli basi wasingejazana kwenye mikutano ya ccm hata kama kuna wasanii,ni wazi hiyo chuki haijawaingia kisawa sawa au hawajielewi ndio maana kotekote wanajazana tu.
Mtz ndie mtu wawezapata popote umuhitajipo
 
Kwanini Lisdu afunge njia?? Haoni kuwa anawakwamisha watu! Inawezekana kweli kivuko kilikuwa kibovu lakini kimetengamaa baada ya kutengenezwa
Aliambiwa akiponi siku hiyo, hivyo eneo hilo likawa ni super parking.
 
Kwenye video hapa chini kinaonekana kivuko ambacho kipo upande wa Mwibara. Kilitoka Ukerewe kwenda Mwibara ambapo kimemuacha ndugu Lissu akiwa Ukerewe kwenye mkutano. Yani Lissu amefika Ukerewe na kivuko kikatoka Ukerewe (Na tuliambiwa kuwa ni kibovu)

Tazama mbele ya kivuko yanaonekana magari. Magari haya ni pamoja na gari la Tundu Lissu (Prado nyeupe) na magari mengine ya msafara wa Lissu ambayo walitaka kuyavusha kwa kutumia kivuko hicho kutoka Mwibara kwenda Ukerewe. Sasa kwa kuwa waliambiwa kuwa kivuko ni kibovu, wakamua kuyaacha magari yao hapo (kama yanavyoonekana) kisha wakaenda zao Ukerewe kwa kutumia Mtumbwi.

Sasa ajabu kivuko kimetoka Ukerewe kimefika Mwibara hatimaye wameshindwa kushusha mizigo na mabasi waliyopaki ndani ya kivuko kwa kuwa magari ya msafara wa Lissu yaliachwa hapo na madereva wote wameenda Ukerewe pamoja na Lissu (Yame block njia).Sasa wanalazimika kusubiri hadi atoke Ukerewe ndipo waje watoe hayo magari ili kivuko kiweze kushusha mizigo na hayo mabasi.

Angalizo: Tundu Lissu aliambiwa kuwa kivuko ni kibovu na kwa leo kisingefanya kazi kabisa!

Swali, hapo nani kacheza kitoto?

Lissu kaamua kuwakomoa wananchi. Yaani unafungia njia wapiga kura. Huyu mtu hatari sana. Nitafika hapo Kisorya niwatie moyo wananchi kwamba Magufuli yupo nao.
 
Mimi nadhani angeambiwa wazi kabisa kwamba kivuko hakiko tayari kukuvusha kwa sababu ni maendeleo ya vitu hayana manufaa kwa watu. Ili ajifunze kuheshimu miundombinu ya watanzania.
 
Kwanini Lisdu afunge njia?? Haoni kuwa anawakwamisha watu! Inawezekana kweli kivuko kilikuwa kibovu lakini kimetengamaa baada ya kutengenezwa
Huna akili, yaani kivuko kikimuona Lissu ndio kinakuwa kibovu, akiondoka kinapona.
 
Kwenye video hapa chini kinaonekana kivuko ambacho kipo upande wa Mwibara. Kilitoka Ukerewe kwenda Mwibara ambapo kimemuacha ndugu Lissu akiwa Ukerewe kwenye mkutano. Yani Lissu amefika Ukerewe na kivuko kikatoka Ukerewe (Na tuliambiwa kuwa ni kibovu)

Tazama mbele ya kivuko yanaonekana magari. Magari haya ni pamoja na gari la Tundu Lissu (Prado nyeupe) na magari mengine ya msafara wa Lissu ambayo walitaka kuyavusha kwa kutumia kivuko hicho kutoka Mwibara kwenda Ukerewe. Sasa kwa kuwa waliambiwa kuwa kivuko ni kibovu, wakamua kuyaacha magari yao hapo (kama yanavyoonekana) kisha wakaenda zao Ukerewe kwa kutumia Mtumbwi.

Sasa ajabu kivuko kimetoka Ukerewe kimefika Mwibara hatimaye wameshindwa kushusha mizigo na mabasi waliyopaki ndani ya kivuko kwa kuwa magari ya msafara wa Lissu yaliachwa hapo na madereva wote wameenda Ukerewe pamoja na Lissu (Yame block njia).Sasa wanalazimika kusubiri hadi atoke Ukerewe ndipo waje watoe hayo magari ili kivuko kiweze kushusha mizigo na hayo mabasi.

Angalizo: Tundu Lissu aliambiwa kuwa kivuko ni kibovu na kwa leo kisingefanya kazi kabisa!

Swali, hapo nani kacheza kitoto?

Mimi sijaelewa point yako ni nini, mtoa mada tulia uandike vizuri, nina uhakika una Mbs za kutosha
 
Mtz ndie mtu wawezapata popote umuhitajipo
Basi ndio maana wanapatikana pia kwenye mikutano ya Lissu hivyo si ajabu ila kinachoshangaza ni kupatikana kwenye mikutano ya CCM wakati wanaichukia CCM.
 
Back
Top Bottom