Tazama jinsi HAMAS inavyotumia mahandaki kushambulia wanajeshi wa Israel huko Gaza

Hivi Israel itakuwa maabara ikitoka na silaha za Ku ma neuvre kwenye mashimo hamtaamini
 
Hamas anashinda hii vita asubuhi sana.Israel watafutiliwa mbali kabisa na watakoma kuwachezea wapiganaji mahiri wa Kiislamu
 
Vizuri Sana lisubiri Hilo kutokea. Lakini tegemea hayo maandaki yao yatakuwa sehemu ya makaburi yao
 
Wasalimie Jabaliah 😭😭😭
 
Gaza inatajwa kuwa na KM za mraba 365 kama sijakosea, je huo urefu wa mahandaki unatoshaje kwenye eneo hilo
Nikusaidie basi hayo maandaki yametoka mpaka nje ya gaza na kuna mengine yaliingia mpaka israel
 
Hamas anashinda hii vita asubuhi sana.Israel watafutiliwa mbali kabisa na watakoma kuwachezea wapiganaji mahiri wa Kiislamu
😆😆😆😆😆
Usisahau Yahudi Ana Kiapo cha SAMSON OPTION
Tutalia wote na kusaga meno 😭😭
 
Nikusaidie basi hayo maandaki yametoka mpaka nje ya gaza na kuna mengine yaliingia mpaka israel
Tuliumbwa Tuishi Juu ya Ardhi!
Hata panya buku huwa wanatoka mashimoni kutalii!
Nawahurumia Hamas!;😭😭Muda utasema!
 
Akili za kuchambia ndiyo zinaweza kuuliza swali la kupumbavu kama ili .....maandaki yapo zigizaga kumchanganya adui. Na mengine yanajitegemea
Mkuu hukuwa na haja ya kumkeleli unge muelewesha tu.
 
JUST IN: Al-Qassam Brigades use a drone to drop a grenade on an Israeli militant force east of Beit Hanoun.
 

Attachments

  • twidown.mp4
    4.4 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…