Tazama katika picha hii Namna wanajeshi wetu walivyofurahi na kutabasamu baada ya kuonana na Rais Samia

Tazama katika picha hii Namna wanajeshi wetu walivyofurahi na kutabasamu baada ya kuonana na Rais Samia

Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Mama yetu na Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anastahili kabisa kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Sijawahi kuona Binadamu wa namna hii aina ya Rais Samia ambaye kila mtu anatamani walau hata kugusa tu picha yake kwa furaha na tabasamu katika mabango ya barabarani na kutoa neno la shukurani Utafikiri picha ina uwezo wa kujibu.

Rais Samia anapendwa na kukubalika ni haijawahi kutokea. Mama kila akitua eneo lolote lile unaona namna watu wanavyolipuka kwa shangwe,nderemo,vifijo na kujawa na tabasamu katika nyuso zao.

Mama kila akitua sehemu unaona watu wakitamani asiondoke eneo hilo. Kila mtu anatamani aendelee kumsikiliza na kumuona tu mama huyu mwenye moyo wa upendo,ukarimu, unyenyekevu,huruma na uungwana wa hali ya juu.

Sasa embu jionee Mwenyewe namna wanajeshi katika kombati zao namna walivyofurahi na kujawa na tabasamu baada ya kuonana na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama.

Mama wa watu hana makuu wala majivuno,hana kiburi wala dharau,hana masimango wala majishauzi .kwa hakika ninajivunia sana kuongozwa na Rais Samia kama RAIS Wangu.natamani aendelee kuongoza tu muda woteTaifa hili.maana naona namna watanzania mitaani walivyo na furaha na utawala wake uliojaa haki na masikilizano.

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu,Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu,Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kwa makusudi maalumu ya kuliongoza Taifa letu.kwa hakika libarikiwe sana Tumbo lililombeba Rais Samia .maana lilibeba kiumbe kilichokuja kuleta furaha na tabasamu kwa mamilioni ya watu wa Taifa hili.View attachment 3077356

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
20240823_124721.jpg
 
Ni
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Mama yetu na Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anastahili kabisa kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Sijawahi kuona Binadamu wa namna hii aina ya Rais Samia ambaye kila mtu anatamani walau hata kugusa tu picha yake kwa furaha na tabasamu katika mabango ya barabarani na kutoa neno la shukurani Utafikiri picha ina uwezo wa kujibu.

Rais Samia anapendwa na kukubalika ni haijawahi kutokea. Mama kila akitua eneo lolote lile unaona namna watu wanavyolipuka kwa shangwe,nderemo,vifijo na kujawa na tabasamu katika nyuso zao.

Mama kila akitua sehemu unaona watu wakitamani asiondoke eneo hilo. Kila mtu anatamani aendelee kumsikiliza na kumuona tu mama huyu mwenye moyo wa upendo,ukarimu, unyenyekevu,huruma na uungwana wa hali ya juu.

Sasa embu jionee Mwenyewe namna wanajeshi katika kombati zao namna walivyofurahi na kujawa na tabasamu baada ya kuonana na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama.

Mama wa watu hana makuu wala majivuno,hana kiburi wala dharau,hana masimango wala majishauzi .kwa hakika ninajivunia sana kuongozwa na Rais Samia kama RAIS Wangu.natamani aendelee kuongoza tu muda woteTaifa hili.maana naona namna watanzania mitaani walivyo na furaha na utawala wake uliojaa haki na masikilizano.

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu,Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu,Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kwa makusudi maalumu ya kuliongoza Taifa letu.kwa hakika libarikiwe sana Tumbo lililombeba Rais Samia .maana lilibeba kiumbe kilichokuja kuleta furaha na tabasamu kwa mamilioni ya watu wa Taifa hili.View attachment 3077356

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
NIlishanga nikasema amewafikiaje kume wamekaa akaonekana mrefuu😅😅😅
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Mama yetu na Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anastahili kabisa kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Sijawahi kuona Binadamu wa namna hii aina ya Rais Samia ambaye kila mtu anatamani walau hata kugusa tu picha yake kwa furaha na tabasamu katika mabango ya barabarani na kutoa neno la shukurani Utafikiri picha ina uwezo wa kujibu.

Rais Samia anapendwa na kukubalika ni haijawahi kutokea. Mama kila akitua eneo lolote lile unaona namna watu wanavyolipuka kwa shangwe,nderemo,vifijo na kujawa na tabasamu katika nyuso zao.

Mama kila akitua sehemu unaona watu wakitamani asiondoke eneo hilo. Kila mtu anatamani aendelee kumsikiliza na kumuona tu mama huyu mwenye moyo wa upendo,ukarimu, unyenyekevu,huruma na uungwana wa hali ya juu.

Sasa embu jionee Mwenyewe namna wanajeshi katika kombati zao namna walivyofurahi na kujawa na tabasamu baada ya kuonana na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama.

Mama wa watu hana makuu wala majivuno,hana kiburi wala dharau,hana masimango wala majishauzi .kwa hakika ninajivunia sana kuongozwa na Rais Samia kama RAIS Wangu.natamani aendelee kuongoza tu muda woteTaifa hili.maana naona namna watanzania mitaani walivyo na furaha na utawala wake uliojaa haki na masikilizano.

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu,Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu,Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kwa makusudi maalumu ya kuliongoza Taifa letu.kwa hakika libarikiwe sana Tumbo lililombeba Rais Samia .maana lilibeba kiumbe kilichokuja kuleta furaha na tabasamu kwa mamilioni ya watu wa Taifa hili.View attachment 3077356

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo picha umeiphotoshop bhana!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Mama yetu na Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anastahili kabisa kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Sijawahi kuona Binadamu wa namna hii aina ya Rais Samia ambaye kila mtu anatamani walau hata kugusa tu picha yake kwa furaha na tabasamu katika mabango ya barabarani na kutoa neno la shukurani Utafikiri picha ina uwezo wa kujibu.

Rais Samia anapendwa na kukubalika ni haijawahi kutokea. Mama kila akitua eneo lolote lile unaona namna watu wanavyolipuka kwa shangwe,nderemo,vifijo na kujawa na tabasamu katika nyuso zao.

Mama kila akitua sehemu unaona watu wakitamani asiondoke eneo hilo. Kila mtu anatamani aendelee kumsikiliza na kumuona tu mama huyu mwenye moyo wa upendo,ukarimu, unyenyekevu,huruma na uungwana wa hali ya juu.

Sasa embu jionee Mwenyewe namna wanajeshi katika kombati zao namna walivyofurahi na kujawa na tabasamu baada ya kuonana na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama.

Mama wa watu hana makuu wala majivuno,hana kiburi wala dharau,hana masimango wala majishauzi .kwa hakika ninajivunia sana kuongozwa na Rais Samia kama RAIS Wangu.natamani aendelee kuongoza tu muda woteTaifa hili.maana naona namna watanzania mitaani walivyo na furaha na utawala wake uliojaa haki na masikilizano.

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu,Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu,Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kwa makusudi maalumu ya kuliongoza Taifa letu.kwa hakika libarikiwe sana Tumbo lililombeba Rais Samia .maana lilibeba kiumbe kilichokuja kuleta furaha na tabasamu kwa mamilioni ya watu wa Taifa hili.View attachment 3077356

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbowe na Lisu pamoja na Genge lao watanuna 😆😆
 
Ukute kura hutampa kamwe ila hapa unalazimika kumpamba sana kwa sababu ya pesa unayopewa.
Njaa mbaya broo
Mimi silipwi. Lakini napenda kukwambia kuwa natamani kupiga kura hata ya wazi kama ingekuwa inawezekana ili Dunia nzima ifahamu ya kuwa nimempigia kura ya Ndio Rais wangu na Jemedari hodari Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. ili Taifa liendelee kuneemeka na kupata maendeleo ya kasi pamoja na kutamalaki kwa amani,utulivu na mshikamano ndani ya Taifa.
 
Back
Top Bottom