Mgaratia Wa bongo
Member
- Oct 4, 2020
- 72
- 76
Rais boresha maisha ya wanajeshi wetu... mmmmh Hadi combat zao zimepauka dah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hazijapauka bali hiyo ni rangi yakeRais boresha maisha ya wanajeshi wetu... mmmmh Hadi combat zao zimepauka dah.
Mnafiki tu wewe huna lolote lile zaidi ya unafikiSijawahi kukutisha na Sina sababu ya kukutisha
Nilikwambia unamuongelea Rais kama unamuongelea bodaboda
Sometimes unatoa mpaka ratiba za Rais as if ww ndio msemaji wake
So nilikwambia Tu kuwa Rais ni Taasisi namba moja Tanzania
Sio kila ukilala ukiamka unakuja na topic ambayo inamhusu Rais wa inchi
Sometimes unaongea mambo ambayo watu wanaongea maneno mabaya juu ya Rais wa inchi kupitia topic zako
Unaweza kuhisi unamjenga au unajijenga kumbe unaharibu na unawapa shida watu kujenga tena
Hope umenielewa
Wanajeshi wetu wana imani kubwa sana na uongozi wa Rais Samia na namna anavyoendesha Taifa letu. Wanaona namna anavyolinda na kuitetea katiba yetu. Wanaona namna Taifa linavyoendelea kupaa kimaendeleo.wanajionea namna ambavyo Rais wetu anaendelea kuriboresha Jeshi letu kwa kulipatia zana nzuri ,za kisasa na bora na mahitaji mengine mbalimbali yanayohitajika ili,ikiwepo maslahi mazuri ya wanajeshi wetu ili wafanye kazi kwa morali na kwa utulivu.
Wanajeshi wetu wana imani kubwa sana na matumaini makubwa sana na uongozi wa Amiri Jeshi Mkuu wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu HasssanWaache wana jeshi kwenye hizi siasa zako. Sio tu wameomba, bali wamewsema bungeni
Embu andika ueleweke hoja yakoNilichokiona Nimewaza Mavazi ya jeshi yasiwekewe alama ya dini ni hatari Kwa mstakabali wa taifa.
Sidhani kama hizo sura ni za mabaka halisi mbona kama hao ni jkt waliovalishwa share za mabakan!?Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Mama yetu na Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anastahili kabisa kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sijawahi kuona Binadamu wa namna hii aina ya Rais Samia ambaye kila mtu anatamani walau hata kugusa tu picha yake kwa furaha na tabasamu katika mabango ya barabarani na kutoa neno la shukurani Utafikiri picha ina uwezo wa kujibu.
Rais Samia anapendwa na kukubalika ni haijawahi kutokea. Mama kila akitua eneo lolote lile unaona namna watu wanavyolipuka kwa shangwe,nderemo,vifijo na kujawa na tabasamu katika nyuso zao.
Mama kila akitua sehemu unaona watu wakitamani asiondoke eneo hilo. Kila mtu anatamani aendelee kumsikiliza na kumuona tu mama huyu mwenye moyo wa upendo,ukarimu, unyenyekevu,huruma na uungwana wa hali ya juu.
Sasa embu jionee Mwenyewe namna wanajeshi katika kombati zao namna walivyofurahi na kujawa na tabasamu baada ya kuonana na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama.
Mama wa watu hana makuu wala majivuno,hana kiburi wala dharau,hana masimango wala majishauzi .kwa hakika ninajivunia sana kuongozwa na Rais Samia kama RAIS Wangu.natamani aendelee kuongoza tu muda woteTaifa hili.maana naona namna watanzania mitaani walivyo na furaha na utawala wake uliojaa haki na masikilizano.
Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu,Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu,Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kwa makusudi maalumu ya kuliongoza Taifa letu.kwa hakika libarikiwe sana Tumbo lililombeba Rais Samia .maana lilibeba kiumbe kilichokuja kuleta furaha na tabasamu kwa mamilioni ya watu wa Taifa hili.View attachment 3077356
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyu ameonesha kwamba kwenye masuala ya kijeshi hajui kitu. AmejidhalilishaView attachment 3077374
Hakika! Upo sahihi
Ndiyo wale wale walio kunywa uji wa mgonjwa alafu mgonjwa akakata moto,Asa hapo umeona kitu gani cha tofauti mpaka unaanza kuandaa andiko, ungejua jua kwamba jamaa hawamtaki. Hii Inchi inafika kubaya kila kitu anacho fanya anasifiwa tuu machawa wanazidi kuongezeka 2.Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Mama yetu na Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anastahili kabisa kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sijawahi kuona Binadamu wa namna hii aina ya Rais Samia ambaye kila mtu anatamani walau hata kugusa tu picha yake kwa furaha na tabasamu katika mabango ya barabarani na kutoa neno la shukurani Utafikiri picha ina uwezo wa kujibu.
Rais Samia anapendwa na kukubalika ni haijawahi kutokea. Mama kila akitua eneo lolote lile unaona namna watu wanavyolipuka kwa shangwe,nderemo,vifijo na kujawa na tabasamu katika nyuso zao.
Mama kila akitua sehemu unaona watu wakitamani asiondoke eneo hilo. Kila mtu anatamani aendelee kumsikiliza na kumuona tu mama huyu mwenye moyo wa upendo,ukarimu, unyenyekevu,huruma na uungwana wa hali ya juu.
Sasa embu jionee Mwenyewe namna wanajeshi katika kombati zao namna walivyofurahi na kujawa na tabasamu baada ya kuonana na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama.
Mama wa watu hana makuu wala majivuno,hana kiburi wala dharau,hana masimango wala majishauzi .kwa hakika ninajivunia sana kuongozwa na Rais Samia kama RAIS Wangu.natamani aendelee kuongoza tu muda woteTaifa hili.maana naona namna watanzania mitaani walivyo na furaha na utawala wake uliojaa haki na masikilizano.
Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu,Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu,Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu. Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kwa makusudi maalumu ya kuliongoza Taifa letu.kwa hakika libarikiwe sana Tumbo lililombeba Rais Samia .maana lilibeba kiumbe kilichokuja kuleta furaha na tabasamu kwa mamilioni ya watu wa Taifa hili.View attachment 3077356
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe jamaa hajielewiLabda umekufa wewe kifikra .unaanzia wapi kusema chama kimekuwa? CCM ndio tumaini la watanzania.ndio maana inaendelea kuungwa mkono kila uchao .vyama vya upinzani ndio vimekufa kibudu hapa Nchini
Naona tayari umesha changanyikiwa.Sidhani kama hizo sura ni za mabaka halisi mbona kama hao ni jkt waliovalishwa share za mabakan!?
Sasa ni rasmi huko ndani Kuna fukuta!
Lengo la kupiga hiyo picha ni justification ya Nini !!?kama hakuna tatizo!?
Mbona nawaza;-
Mabaka(nchi) vs jkt(mwenyekiti)
Mawazo koma kabisa!!!
Nadhani!!
Hivi uchaguzi wa serikali mitaa utakuwepo kweli!?Tena wa amani!!?
Soma ulicho andikaWewe jamaa hajielewi
Rais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuuNdiyo wale wale walio kunywa uji wa mgonjwa alafu mgonjwa akakata moto,Asa hapo umeona kitu gani cha tofauti mpaka unaanza kuandaa andiko, ungejua jua kwamba jamaa hawamtaki. Hii Inchi inafika kubaya kila kitu anacho fanya anasifiwa tuu machawa wanazidi kuongezeka 2.
Kumbe teuzi ni za kupeana peana tu. Hamna hata vettingHuyu ameonesha kwamba kwenye masuala ya kijeshi hajui kitu. Amejidhalilisha
Uchawa ndio nini? Hizo ajira za uchawa zinasikamiwa na kutolewa kupitia wizara ipi? Zilitangazwa lini? Vituo vyake vya kazi ni wapi?Uchawa ni ajira rasmi kuelekea 2025....
Kwa mawazo yako but not meRais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu
Duuh endelea n huo uchawaUchawa ni ajira rasmi kuelekea 2025....