Tazama katika picha hii Namna wanajeshi wetu walivyofurahi na kutabasamu baada ya kuonana na Rais Samia

Mnafiki tu wewe huna lolote lile zaidi ya unafiki
 

Waache wana jeshi kwenye hizi siasa zako. Sio tu wameomba, bali wamewsema bungeni
 
Nilichokiona Nimewaza Mavazi ya jeshi yasiwekewe alama ya dini ni hatari Kwa mstakabali wa taifa.
 
Sidhani kama hizo sura ni za mabaka halisi mbona kama hao ni jkt waliovalishwa share za mabakan!?

Sasa ni rasmi huko ndani Kuna fukuta!

Lengo la kupiga hiyo picha ni justification ya Nini !!?kama hakuna tatizo!?

Mbona nawaza;-

Mabaka(nchi) vs jkt(mwenyekiti)

Mawazo koma kabisa!!!

Nadhani!!

Hivi uchaguzi wa serikali mitaa utakuwepo kweli!?Tena wa amani!!?
 
Ndiyo wale wale walio kunywa uji wa mgonjwa alafu mgonjwa akakata moto,Asa hapo umeona kitu gani cha tofauti mpaka unaanza kuandaa andiko, ungejua jua kwamba jamaa hawamtaki. Hii Inchi inafika kubaya kila kitu anacho fanya anasifiwa tuu machawa wanazidi kuongezeka 2.
 
Naona tayari umesha changanyikiwa.
 
Rais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…