inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Lipi limekufanya uone wakenya Wana akiliKwa average wakenya wana akili kuliko watz walio wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipi limekufanya uone wakenya Wana akiliKwa average wakenya wana akili kuliko watz walio wengi
Hakuna sehemu waliposema Kenya imeizidi Tanzania kwenye Mapato ya utalii..![]()
Kenya voted as best safari destination in the world - MONEYINAFRICA
Cheetah leaps on a car in Masai Mara Kenya has for the seventh time been voted as the best country for safaris. Kenya beat Botswana, South Africa, Tanzania, Namibia, Zambia and Zimbabwe. The ranking was compiled by jurists from the World Travel Awards who analysed over 4,000 reviews of safaris...moneyinafrica.com
Upuuzi ni Upi hapo?Upuuzi mtupu
Sasa mbona siioniCheck filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Kurekodi movie ili watalii waje at the same time unaitangazia dunia kuwa Kuna magaidi nchini mwakoUpuuzi ni Upi hapo?
Acha utani..ukanda huu tunakimbizwa na South Africa..Fuatilia data za revenues Tanzania vs Kenya utuletee basi. Tunasubiri. Sio watu mnakuwa wabishi tu. Hapa ni kuelimishana. Ila ninavyojua Kenya always tourism revenue zinazidi Tanzania year after year.
Stealing? Mbona humtendei haki Mheshimiwa Rais wetu?Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Mwanao anaeteseka ni huyu anaelialia kuwa hakujiandaa kuwa Rais.She is hopeles.mwanangu utateseka Sana yaani
Rais Samia ni rais wa historiaMwanao anaeteseka ni huyu anaelialia kuwa hakujiandaa kuwa Rais.She is hopeles.
View attachment 2055551
Ulitegemea iwe mbaya?picha nzuri
definitely yesThe arcitect of this project is a genius
Nani ambavyo wamechangamka kwenye kusaka fursa, kutumia rasimali zilizopo mbele yao na kupeana connection kwa ujumla.Lipi limekufanya uone wakenya Wana akili
hiz zote ni changamoto ambazo zinafanyiwa kaz na taasis husika.laoyal tour iitabak kuwa ya kimataifaWanaishia kwenda Kenya. Mfumo wa utalii nchini ni mbovu. Imagine tumewazidi Kenya kwa vivutio ila bado wanatupiga mabao sana katika utalii. Hakuna asiyejua Tanzania ina vivutio vizuri. Na wala hakuna sababu ya kufanya filamu kama hio ili watu wajue.. muhimu ni kubadili system ikiwa pamoja na tariffs nyingi, customer care nzuri, barabara nzuri zipitike vizuri mwaka mzima na sio wakati wa high season tu, na guides wapewe elimu nzuri waive kabisa katika lugha na knowledge ya utalii
Ni kweli kwani yeye alijiandaa kuwa rais yeye alikuwa makamu wa raisMwanao anaeteseka ni huyu anaelialia kuwa hakujiandaa kuwa Rais.She is hopeles.
View attachment 2055551
Naungana nawewe 100%video nimeona aisee ni kal sana hii inazidi kutuweka katika lamani ya dunia na kuipaisha kiuchumi tanzania na pia itauhamisha ufarme wa utalii kutoka bahamas huko na copacabana kwa watalii kuja kumiminika tanzania.