Tazama kionjo (trailer) cha filamu ya The Royal Tour aliyoshiriki Rais Samia

Tazama kionjo (trailer) cha filamu ya The Royal Tour aliyoshiriki Rais Samia

Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Mimi na swali,sisi kama nchi tumejifunza nini kwenye iyo royal tour?ni nini unaona tunatakiwa tufanye?au tusubiri royal tour nyingine?
Tunajifunza kuendeleza kuitangaza Nchii yetu
 
Fuatilia data za revenues Tanzania vs Kenya utuletee basi. Tunasubiri. Sio watu mnakuwa wabishi tu. Hapa ni kuelimishana. Ila ninavyojua Kenya always tourism revenue zinazidi Tanzania year after year.
Weka basi wewe data tuone hilo zidio la year after year
 
Wanaishia kwenda Kenya. Mfumo wa utalii nchini ni mbovu. Imagine tumewazidi Kenya kwa vivutio ila bado wanatupiga mabao sana katika utalii. Hakuna asiyejua Tanzania ina vivutio vizuri. Na wala hakuna sababu ya kufanya filamu kama hio ili watu wajue.. muhimu ni kubadili system ikiwa pamoja na tariffs nyingi, customer care nzuri, barabara nzuri zipitike vizuri mwaka mzima na sio wakati wa high season tu, na guides wapewe elimu nzuri waive kabisa katika lugha na knowledge ya utalii
The most prominent Nyumbu ever 🤥
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,


#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Huyu jamaa anataka kuhujumu nini!!! Amekosaje kutamka neno "Kilimanjaro" au na kuweka picha yake katika Ubora wake wote.
 
Mtu mwenye basi la scania akiingiza laki 2 na nusu na mwenye IST akaingiza laki 1 na nusu? Kwa muda huo huo wa kufanya kazi hio hio.. nani hapo ana faida kubwa?
Sijajua. Labda kwa mapato ambayo ni indirect ila soma report za revenue utaona tofauti
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,


#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Samia kiboko kwakweli,
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,


#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Hii tumepigwa hakuna kitu hapo
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,


#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Kwa hiyo hii video ndio itatuletea watalii milioni tano? Sitaki kununa lakini unafahamu vitu vinavyomfanya mtalii achague destination? Hii video hatujui imegharimu kiasi gani kuitengeneza lakini tunazo video zaidi ta 500 zinazoeleza utalii wa Tanzania. Wenzetu Austria jiji la Salsburg wanapokea watalii zaidi ya milioni tatu kwa sababu tu ni home of Mozart pale nyumbani kwa Mozart zinapigwa nyimbo zake mfululizo masaa 24 kwa mwaka mzima. Sisi kama tupo serious tunaweza kumtumia marehemu Nyerere kutuletea watalii lukuki hasa utalii wa educational. Nyerere ni holder wa PhD nyingi honorary kutoka vyuo mbali mbali duniani tutumie hiyo fursa. Utalii sio wanyama na mbuga tu mfano ni huo wa Salsburg na Mozart pia kuna nyumba ndogo sana imehifadhiwa nyumbani kwao Adolf Hitler hii ni kivutio kikubwa sana kiasi cha watalii zaidi ya milioni mbili hutembelea hapo kwa mwaka. Utalii sio kubahatisha ni taaluma
 
Afadhali imekamilika, sasa tutaondolewa tozo kwenye miamala ya simu, benki na umeme. Pia tutapunguziwa gharama za kodi kwenye mafuta ili mafuta ya petroli, dizeli,na ya kula nakadhalika vitashuka bei. Ndiyo, kwa sababu filamu hii itaingizia Tanziania mapato lukuki kiasi cha kumaliza deni la taifa.

Asante sana.
I see [emoji23][emoji23][emoji23] Ni juhudi tu zinaweza kufanikiwa au kutofanikiwa..tusibeze
 
Kwa hiyo hii video ndio itatuletea watalii milioni tano? Sitaki kununa lakini unafahamu vitu vinavyomfanya mtalii achague destination? Hii video hatujui imegharimu kiasi gani kuitengeneza lakini tunazo video zaidi ta 500 zinazoeleza utalii wa Tanzania. Wenzetu Austria jiji la Salsburg wanapokea watalii zaidi ya milioni tatu kwa sababu tu ni home of Mozart pale nyumbani kwa Mozart zinapigwa nyimbo zake mfululizo masaa 24 kwa mwaka mzima. Sisi kama tupo serious tunaweza kumtumia marehemu Nyerere kutuletea watalii lukuki hasa utalii wa educational. Nyerere ni holder wa PhD nyingi honorary kutoka vyuo mbali mbali duniani tutumie hiyo fursa. Utalii sio wanyama na mbuga tu mfano ni huo wa Salsburg na Mozart pia kuna nyumba ndogo sana imehifadhiwa nyumbani kwao Adolf Hitler hii ni kivutio kikubwa sana kiasi cha watalii zaidi ya milioni mbili hutembelea hapo kwa mwaka. Utalii sio kubahatisha ni taaluma
Tz ilivyo na wajinga wengi (maccm) ni utalii tosha, wake wajionee maccm yasiyo na akili
 
I see [emoji23][emoji23][emoji23] Ni juhudi tu zinaweza kufanikiwa au kutofanikiwa..tusibeze
Mkuu, niko serious. Kazi iliyofanyika si ndogo. Nina imani na mafanikio makubwa kutokana na kazi hii. Vinginevyo, nielezwe tofauti malengo ya uandaaji wa filamu hii.
 
Back
Top Bottom