Tazama kionjo (trailer) cha filamu ya The Royal Tour aliyoshiriki Rais Samia

Tazama kionjo (trailer) cha filamu ya The Royal Tour aliyoshiriki Rais Samia

Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,


#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Daaah hii filamu itakuwa kali Sana,
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,


#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514

Kweli Ni akili kubwa maana sikujua Kama yeye producer
 
Kaziindelee, Royal Tour Film italipa sana hapo baadae
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Kwa hiyo hii video ndio itatuletea watalii milioni tano? Sitaki kununa lakini unafahamu vitu vinavyomfanya mtalii achague destination? Hii video hatujui imegharimu kiasi gani kuitengeneza lakini tunazo video zaidi ta 500 zinazoeleza utalii wa Tanzania. Wenzetu Austria jiji la Salsburg wanapokea watalii zaidi ya milioni tatu kwa sababu tu ni home of Mozart pale nyumbani kwa Mozart zinapigwa nyimbo zake mfululizo masaa 24 kwa mwaka mzima. Sisi kama tupo serious tunaweza kumtumia marehemu Nyerere kutuletea watalii lukuki hasa utalii wa educational. Nyerere ni holder wa PhD nyingi honorary kutoka vyuo mbali mbali duniani tutumie hiyo fursa. Utalii sio wanyama na mbuga tu mfano ni huo wa Salsburg na Mozart pia kuna nyumba ndogo sana imehifadhiwa nyumbani kwao Adolf Hitler hii ni kivutio kikubwa sana kiasi cha watalii zaidi ya milioni mbili hutembelea hapo kwa mwaka. Utalii sio kubahatisha ni taaluma

..suluhisho ni watalii wa ndani.

..yaani Watz wenyewe wawe na uwezo na utamaduni wa kutalii.
 
Ubovu uko wapi mkuu?
Kwa miaka mingi tour guides wamekuwa watu fulani tu waliojitolea hawana taaluma yoyote na walikuwa siyo kundi rasmi. Wengine wezi, wengine lugha kali kwa watalii na wengine wavuta bangi.

Ukija kwenye hizi kampuni za kusafirisha watalii kwenye mbuga za wanyama nako kuna vurugu mechi.

Njoo serikalini kwenyewe Kodi kwa mtalii zilivojazana
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kwa miaka mingi tour guides wamekuwa watu fulani tu waliojitolea hawana taaluma yoyote na walikuwa siyo kundi rasmi. Wengine wezi, wengine lugha kali kwa watalii na wengine wavuta bangi.

Ukija kwenye hizi kampuni za kusafirisha watalii kwenye mbuga za wanyama nako kuna vurugu mechi.

Njoo serikalini kwenyewe Kodi kwa mtalii zilivojazana
Hii hoja ni ya muhimu sana,

Waziri atakumbushwa hili
 
Kwa hiyo hii video ndio itatuletea watalii milioni tano? Sitaki kununa lakini unafahamu vitu vinavyomfanya mtalii achague destination? Hii video hatujui imegharimu kiasi gani kuitengeneza lakini tunazo video zaidi ta 500 zinazoeleza utalii wa Tanzania. Wenzetu Austria jiji la Salsburg wanapokea watalii zaidi ya milioni tatu kwa sababu tu ni home of Mozart pale nyumbani kwa Mozart zinapigwa nyimbo zake mfululizo masaa 24 kwa mwaka mzima. Sisi kama tupo serious tunaweza kumtumia marehemu Nyerere kutuletea watalii lukuki hasa utalii wa educational. Nyerere ni holder wa PhD nyingi honorary kutoka vyuo mbali mbali duniani tutumie hiyo fursa. Utalii sio wanyama na mbuga tu mfano ni huo wa Salsburg na Mozart pia kuna nyumba ndogo sana imehifadhiwa nyumbani kwao Adolf Hitler hii ni kivutio kikubwa sana kiasi cha watalii zaidi ya milioni mbili hutembelea hapo kwa mwaka. Utalii sio kubahatisha ni taaluma
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,


#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Kaziindelee Tanzania
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Back
Top Bottom