Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,762
- 3,362
Hajui anachokisena huyo...Kenya wanatuzidi revenues kwenye utalii..that's what you're saying??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui anachokisena huyo...Kenya wanatuzidi revenues kwenye utalii..that's what you're saying??
Hapana mkuu usiwe mwepesi kusahau juzi kati tu hapa serikali ya Marekani ilitoa walaka unaowaonya Wamarekani kutembelea Tanzania sababu ikiwemo ya ugaidi.Tatizo wewe sio Mtanzania ,Upuuzwe tu
Move kali hili balaa,
Afadhali imekamilika, sasa tutaondolewa tozo kwenye miamala ya simu, benki na umeme. Pia tutapunguziwa gharama za kodi kwenye mafuta ili mafuta ya petroli, dizeli,na ya kula nakadhalika vitashuka bei. Ndiyo, kwa sababu filamu hii itaingizia Tanziania mapato lukuki kiasi cha kumaliza deni la taifa.Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Katiba yetu inasema wazi kuwa Rais akifa makamu wa Rais atakuwa Rais.Ni kweli kwani yeye alijiandaa kuwa rais yeye alikuwa makamu wa rais
Wanaishia kwenda Kenya. Mfumo wa utalii nchini ni mbovu. Imagine tumewazidi Kenya kwa vivutio ila bado wanatupiga mabao sana katika utalii. Hakuna asiyejua Tanzania ina vivutio vizuri. Na wala hakuna sababu ya kufanya filamu kama hio ili watu wajue.. muhimu ni kubadili system ikiwa pamoja na tariffs nyingi, customer care nzuri, barabara nzuri zipitike vizuri mwaka mzima na sio wakati wa high season tu, na guides wapewe elimu nzuri waive kabisa katika lugha na knowledge ya utalii
Kwa hiyo hayo yanatosha kumfanya mtu awe na akili na asiyefanya hayo Hana!?Nani ambavyo wamechangamka kwenye kusaka fursa, kutumia rasimali zilizopo mbele yao na kupeana connection kwa ujumla.
Kwa kuwaachia katiba mpya itakayotoa fursa na haki sawa kwa wote.Waliopita wametuachia nchi nzuri. TUBARIKIWE MILELE na sisi tuwaachie watoto wetu nchi nzuri.
Akili kubwa kivipi?Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
ile barua fake tu mkuuHapana mkuu usiwe mwepesi kusahau juzi kati tu hapa serikali ya Marekani ilitoa walaka unaowaonya Wamarekani kutembelea Tanzania sababu ikiwemo ya ugaidi.
Nakubaliana na wewe 100%Waliopita wametuachia nchi nzuri. TUBARIKIWE MILELE na sisi tuwaachie watoto wetu nchi nzuri.
Wewe unaonaje?Kwa hiyo hayo yanatosha kumfanya mtu awe na akili na asiyefanya hayo Hana!?
nchi ngumu kwelikweli hii,Wewe unaonaje?
KATIBA MPYA, TUME HURU YA UCHAGUZI, MBOWE SIYO GAIDI,Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,
Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.
Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,
#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Kwa kuwaandaa kuwa binadamu wema wasiotegemea kilichoandikwa kwenye malaratasi kulazimika kufanya wema.Kwa kuwaachia katiba mpya itakayotoa fursa na haki sawa kwa wote.
DaaahKATIBA MPYA, TUME HURU YA UCHAGUZI, MBOWE SIYO GAIDI,
Tanzania Royal Tour Baadae.....🙄🙄🙄🤣🤣😁😁