Tazama kionjo (trailer) cha filamu ya The Royal Tour aliyoshiriki Rais Samia

Tazama kionjo (trailer) cha filamu ya The Royal Tour aliyoshiriki Rais Samia

Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,


#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Afadhali imekamilika, sasa tutaondolewa tozo kwenye miamala ya simu, benki na umeme. Pia tutapunguziwa gharama za kodi kwenye mafuta ili mafuta ya petroli, dizeli,na ya kula nakadhalika vitashuka bei. Ndiyo, kwa sababu filamu hii itaingizia Tanziania mapato lukuki kiasi cha kumaliza deni la taifa.

Asante sana.
 
Ni kweli kwani yeye alijiandaa kuwa rais yeye alikuwa makamu wa rais
Katiba yetu inasema wazi kuwa Rais akifa makamu wa Rais atakuwa Rais.

Rais ni binadamu kama binadamu wengine na muda wowote ule anaweza kufa kwa magonjwa,ajali,kuuawa na kadhalika kwa hiyo makamu wa Rais anatakiwa kujiandaa kuwa Rais at any time.

Moja ya jukumu la msingi kabisa la makamu wa Rais ni kujiandaa kuwa Rais kwa sababu Rais siyo Mungu na anaweza kufa muda wowote ule.

Samia hakujiandaa kuwa Rais kwa sababu hakujua majukumu yake kama makamu wa Rais.

Mtu ambae hakujua majukumu yake kama makamu wa Rais hawezi kujua majukumu yake kama Rais kwa hiyo hafai kuwa Rais.

Samia kwa kushindwa kujua majukumu yake kama makamu wa Rais amethibitisha mwenyewe kuwa hafai kuwa Rais.
 
Kwenye guides hapo umenena,
Guides wa tips changamoto
Wanaishia kwenda Kenya. Mfumo wa utalii nchini ni mbovu. Imagine tumewazidi Kenya kwa vivutio ila bado wanatupiga mabao sana katika utalii. Hakuna asiyejua Tanzania ina vivutio vizuri. Na wala hakuna sababu ya kufanya filamu kama hio ili watu wajue.. muhimu ni kubadili system ikiwa pamoja na tariffs nyingi, customer care nzuri, barabara nzuri zipitike vizuri mwaka mzima na sio wakati wa high season tu, na guides wapewe elimu nzuri waive kabisa katika lugha na knowledge ya utalii
 
Wangetutengenezea moja nyingine ya vita ya Uganda, najua ukiweka dau mezani Hollywood wankutolea kitu kikali sana
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,


#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
Akili kubwa kivipi?
Huyo Peter Greenberg ameshafanya hizo royal tour nchi kibao Kama Israel, Poland, Mexico, Ecuador mpaka Rwanda pimbi wewe. Hiyo akili kubwa ya Mama hasani iko wapi hapo?

Alafu stealing ni nini? Au wewe ndo yule uliesema terrorism ni mambo ya utalii
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Stealing wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,


#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa,
View attachment 2055514
KATIBA MPYA, TUME HURU YA UCHAGUZI, MBOWE SIYO GAIDI,


Tanzania Royal Tour Baadae.....🙄🙄🙄🤣🤣😁😁
 
Back
Top Bottom