Tazama kionjo (trailer) cha filamu ya The Royal Tour aliyoshiriki Rais Samia

Tazama kionjo (trailer) cha filamu ya The Royal Tour aliyoshiriki Rais Samia

Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,

#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa

View attachment 2055514

Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
Kazi na iendelee
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,

#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa

View attachment 2055514

Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
Magnificent !
 
Kumbe lengo la ROYAL TOUR ilikuwa ni kuwatoa masai kuweka wazungu! daaah Mungu yupo lakini
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,

#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa

View attachment 2055514

Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
watch
 
Tatizo ninaloliona ni hilo jina la filamu hii. Kama mtu ni Mtanzania mwenye asili ya Kiafrika, mtu mweusi, unaishi hapa hapa Magomeni, unazaa mtoto wako wa kiume na unampa jina “Prince William”, basi wengine wataona mwenzetu ni “British” sana na watakusifia kwa uzungu wako. Lakini pia wapo wengine wengi watakuona kituko; mtu usiyejitambua na kujithamini! Kulikuwa na ulazima gani kuiita hiyo filamu “The Royal Tour” wakati wangeweza kuiita jina lingine lolote lenye uzito na heshima ya kujitambua? Mfano: The Presidential Tour”? Jamani, jamani, jamani! Heshima ya ‘Royal’ ina nchi zake na Tanzania hatuko kati ya hizo nchi. Hili wazo la kutoa jina hilo lilipata baraka zote za wakuu wa Wizara, Serikali na Mkuu wa nchi yetu? Hivi kweli hakuna hata mtu mmoja aliona upungufu huo na kushauri inavyopasa? Aibu zingine huko duniani tunajitakia wenyewe.
Katika mambo ya filamu lazma uchague jina zuri litakalovutia watu Ili watamani kutizama kilichomo kwenye filamu hiyo. Mzungu akiona Hilo neno atatamani kuitizama movie na akiingalia atatamani kuja. Lengo ioate viewers wengi na isambae Ili lengo la watalii wengi litimie
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,

#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa

View attachment 2055514

Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
Nzuri sana hii
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,

#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa

View attachment 2055514

Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
Mambo ni mazuri Sana,
 
Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani,

Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo baadae,

#Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa

View attachment 2055514

Pia, soma: Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii
Filamu kali sana hii aise let's wait
 
Safi sana kwa Mama SS.. Tumpe Moyo aendelee kutangaza Tz yetu... Natamani hata Watz tuanze kujivunia vya kwetu
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
Daah..huu unafiki wa kiwango cha lami..cha ajabu hawa ndio waje kuletea hii nchi maendeleo..

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom