Tazama picha 10 za jamaa aliyeangua kilio kikubwa kisa ataka kupiga picha na Diamond Platnumz


Mimi nishawahi kumuomba demu aigize mbele za watu kwamba ananibabaikia sana, bahati nzuri alikubali.
 
Mimi nishawahi kumuomba demu aigize mbele za watu kwamba ananibabaikia sana, bahati nzuri alikubali.

acha uf@lasi, unaquote habari nzima kwaajili ya utumbo huo uloandika, si ungecomment kavukavu watu wakaelewa yakaisha, unavitakia nn visimu vya wenzako vya mchina?
 
acha uf@lasi, unaquote habari nzima kwaajili ya utumbo huo uloandika, si ungecomment kavukavu watu wakaelewa yakaisha, unavitakia nn visimu vya wenzako vya mchina?

Mi mwenyewe nina phone, shida ni nini tena? Una boa
 
ina mana dimond hana dreva ila anamlinzi naona hapo katoka kwenye show halafu anaendesha mwenyewe
 
ina mana dimond hana dreva ila anamlinzi naona hapo katoka kwenye show halafu anaendesha mwenyewe

Chezo hilo lilikuwa limepangwa sema wameshindwa kuipanga script vizuri
 
Gun muhim sanaa kwa vilaza Kama ilo linalia bila sababu eti lishabik
 
huyo atakuwa ni mtoto mchelemchele chakula ya watu…. anapakuliwa tope si bure… wanaume watakuwa wanakula kachuri si bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…