Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Good luckMimi siyo chawa ndugu yangu mtanzania.
Sikio la kufa alisikii dawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good luckMimi siyo chawa ndugu yangu mtanzania.
🙏🙏Tuungane kuijenga nchi na Taifa letu. Tukosoane kwa heshima,busara na staha.sote tunajenga nyumba moja. Mimi penye ushauri huwa napokea na penye kuhitaji kujisahihisha huwa nafanya hivyo.hii ni kwa kutambua ukweli kuwa hakuna mwanadamu aliye kamilika chini ya jua.Good luck
Sikio la kufa alisikii dawa
Wenye akili ya kuamua unafaa wapi wanakusoma humuMimi ni mtu makini ,muadilifu,mzalendo,mchapa kazi,mwenye maono na akili ya kupambanua mambo ambaye naweza kufanya kazi mahali popote pale na kuleta matokeo chanya na yenye kugusa watu kwa hiyo unaposema mimi akili yangu sijuwi imefanyaje unakuwa unanikosea sana Ndugu yangu.
Teh teh teh 😃 😃 noma sanaDawa ya huyu jamaa alikuwa JPM
Work on advice given🙏🙏Tuungane kuijenga nchi na Taifa letu. Tukosoane kwa heshima,busara na staha.sote tunajenga nyumba moja. Mimi penye ushauri huwa napokea na penye kuhitaji kujisahihisha huwa nafanya hivyo.hii ni kwa kutambua ukweli kuwa hakuna mwanadamu aliye kamilika chini ya jua.
Kwanza ningependa kukujibu kuwa mimi sina ID zaidi ya hii niitumiayo ambayo ni halisia. Ninayo moja tu hii na nitaendelea kuwa nayo hii tu.Wenye akili ya kuamua unafaa wapi wanakusoma humu
Na moderators wanawapa IDs żako zote.
Sisi wengine aturuhusiwi kuwa na ID zaidi ya moja kuwachanganya. Tukifanya hivyo tu mods wanafunga moja.
Sasa kazi kwako elewa wanakusoma na kukupima unawafaa wapi kutokana na uwezo wako. Kwa sasa ni level ya msukuma na kibabaji, serikalini kama una ID nyingine chit-chat ya upuuzi wanakusoma na wanajua risk wanazobeba kukupa nafasi.
Couldn’t care less about your nonsense, naona una angaika sana tu kutetea ujinga at times.
Elezea umeelewa nini kuhusiana na picha hiyo.Fumbo mfumbie mjinga mwerevu ataling'amua
Akili ni nywele na kila mtu ana zake.Kwanza ningependa kukujibu kuwa mimi sina ID zaidi ya hii niitumiayo ambayo ni halisia. Ninayo moja tu hii na nitaendelea kuwa nayo hii tu.
Pili sipo hapa jukwaani kwa ajili ya kuandika ujinga au kutafuta fadhila kutoka kwa mtu au kuandika unafiki. Mimi ni msema kweli Daima japo ukweli wangu unakuwa ni mchungu kwa baadhi ya watu wasiopenda kuambiwa ukweli. Habari ya kusema nimeandika ujinga au vibaya inategemeana na mtizamo wako na upande ulioamua kusimamia wewe. Kwa hiyo siyo lazima uniunge mkono katika kila andiko na sitegemei iwe hivyo kuungwa mkono na kila mtu humu jukwaani.
Wewe mbona unanitishia ban mwenzako mimi naingia humu kama moja ya burudani zangu nyingi tu nikipigwa ban naenda kucheza tennis nikitoka hapo napata kinywaji na burudani nyingine tu sasa wewe unayeitegemea JF kukupatia mlo wa siku ndiyo unaogopa ban.Embu acha ujinga wako dogo.utakula ban dogo
Mlo wangu wa chakula unapatikana shambani na siyo humu jukwaani.kwani ulishaambiwa jukwaa hili lina stoo ya chakula au jiko la kupikia Chakula?Wewe mbona unanitishia ban mwenzako mimi naingia humu kama moja ya burudani zangu nyingi tu nikipigwa ban naenda kucheza tennis nikitoka hapo napata kinywaji na burudani nyingine tu sasa wewe unayeitegemea JF kukupatia mlo wa siku ndiyo unaogopa ban.
Hizo buku saba unazolipwa kupost ujinga humu si ndiyo mlo wakoMlo wangu wa chakula unapatikana shambani na siyo humu jukwaani.kwani ulishaambiwa jukwaa hili lina stoo ya chakula au jiko la kupikia Chakula?
aiseee hivi Kwani ilienda public?Jamani mwenye ile clip alipokua anamfata Magu kwa magoti huku analia na kamasi nyingi sana atuwekeee🤣🤣🤣🤣
mkuu emb itume nione kamasi zilivyokuwa zinatoka, ni kweli kamasi au kamasi zinaambatana na pesa?Tuma GB 3 nikutumie humu jukwaani. 😃😃😃😃😃
Silipwi kama unavyolipwa wewe kuja kutukana matusi humu.Hizo buku saba unazolipwa kupost ujinga humu si ndiyo mlo wako
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa WaziriNi mmoja wa waziri kilaza kabisa!
Kanaswa kisawasawa. Kajificha porini, lakini leo kachomolewa na kupaishwa mita 1000 juu na kila mtanzania anamuona huku chadema wakiwa wamelowa na vichwa chini.Msigwa huyo🤣🤣🤣