Tazama picha hii kwa umakini halafu useme waziri Nape amemaanisha nini?

Tazama picha hii kwa umakini halafu useme waziri Nape amemaanisha nini?

Ndugu zangu Watanzania,

Katika ukurasa wake wa Mtandao wa X, waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ameweka picha hii. Sasa ningependa kuwauliza wana jukwaa mnafikiri Mheshimiwa waziri alitaka kutoa ujumbe gani na ujumbe huo unamhusu na kumlenga nani?

View attachment 3033030

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Chadema wameliwa...Issue ya msigwa!!
 
Anamaanisha utekaji ndio utazidi Kwa wakosoaji wa Serikali Ili kuwatisha.
 
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Waziri
Yaani wewe kila kiongozi ccm unasifia tu hata kama wa hovyo, dawa yako ilikuwa ukutane na yule mkuu wa mkoa wa Simiyu umsifie akutindue t.go hadi ushindwe kwenda shamba kulima kudadek🤣🤣
 
Huyu sio wa kumzingatia😁😁.

Kuna watu wakipost hivyo unatafakari,huyu wala usihangaike.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika ukurasa wake wa Mtandao wa X, waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ameweka picha hii. Sasa ningependa kuwauliza wana jukwaa mnafikiri Mheshimiwa waziri alitaka kutoa ujumbe gani na ujumbe huo unamhusu na kumlenga nani?

View attachment 3033030

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kashamtuliza mtoto wa Baba wa zamani.
 
Kama ulikiwa hufahamu basi maana yake ni hii hapa; Chama chako cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wako, wameanza kuyakwapua majoka yenye sumu kali kutoka upinzani.

Na mbaya zaidi wanayakwapua kwa kushikilia mkiani! Sasa siku yakigeuka na kuwauma, maana na ccm nayo itajifia kifo kibaya sana cha kugongwa na hayo majoka yenye sumu kali.

Na katika hili, binafsi naombea litokee mpema ili nchi ipate maendeleo ya kweli.
Ooh kumbe? Nyoka siku zote anakanyagwa kwenye Kichwa.....ukijisahau ukamkanyaga kwenye mkia umekwisha.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika ukurasa wake wa Mtandao wa X, waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ameweka picha hii. Sasa ningependa kuwauliza wana jukwaa mnafikiri Mheshimiwa waziri alitaka kutoa ujumbe gani na ujumbe huo unamhusu na kumlenga nani?

View attachment 3033030

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kimbia kimbia lakini sisi tunakunyakuwa.
 
Back
Top Bottom