Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #61
Huo ni mtizamo wako na asante kwa mawazo yakoKanaswa kisawasawa. Kajificha porini, lakini leo kachomolewa na kupaishwa mita 1000 juu na kila mtanzania anamuona huku chadema wakiwa wamelowa na vichwa chini.
Chadema wameliwa...Issue ya msigwa!!Ndugu zangu Watanzania,
Katika ukurasa wake wa Mtandao wa X, waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ameweka picha hii. Sasa ningependa kuwauliza wana jukwaa mnafikiri Mheshimiwa waziri alitaka kutoa ujumbe gani na ujumbe huo unamhusu na kumlenga nani?
View attachment 3033030
Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Asante kwa mawazo yakoChadema wameliwa...Issue ya msigwa!!
Yaani wewe kila kiongozi ccm unasifia tu hata kama wa hovyo, dawa yako ilikuwa ukutane na yule mkuu wa mkoa wa Simiyu umsifie akutindue t.go hadi ushindwe kwenda shamba kulima kudadek🤣🤣Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Waziri
Inaonyesha uwezo wako wa ufahamu na ufikiri ni mdogo sana .Anamaanisha utekaji ndio utazidi Kwa wakosoaji wa Serikali Ili kuwatisha.
Kashamtuliza mtoto wa Baba wa zamani.Ndugu zangu Watanzania,
Katika ukurasa wake wa Mtandao wa X, waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ameweka picha hii. Sasa ningependa kuwauliza wana jukwaa mnafikiri Mheshimiwa waziri alitaka kutoa ujumbe gani na ujumbe huo unamhusu na kumlenga nani?
View attachment 3033030
Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ooh kumbe? Nyoka siku zote anakanyagwa kwenye Kichwa.....ukijisahau ukamkanyaga kwenye mkia umekwisha.Kama ulikiwa hufahamu basi maana yake ni hii hapa; Chama chako cha Mapinduzi chini ya Mwenyekiti wako, wameanza kuyakwapua majoka yenye sumu kali kutoka upinzani.
Na mbaya zaidi wanayakwapua kwa kushikilia mkiani! Sasa siku yakigeuka na kuwauma, maana na ccm nayo itajifia kifo kibaya sana cha kugongwa na hayo majoka yenye sumu kali.
Na katika hili, binafsi naombea litokee mpema ili nchi ipate maendeleo ya kweli.
Kimbia kimbia lakini sisi tunakunyakuwa.Ndugu zangu Watanzania,
Katika ukurasa wake wa Mtandao wa X, waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ameweka picha hii. Sasa ningependa kuwauliza wana jukwaa mnafikiri Mheshimiwa waziri alitaka kutoa ujumbe gani na ujumbe huo unamhusu na kumlenga nani?
View attachment 3033030
Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
😀😀Kimbia kimbia lakini sisi tunakunyakuwa.
Mtoto yupiKashamtuliza mtoto wa Baba wa zamani.