Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Greatest Engineers,
Na wewe umekuwa brain washed kama country boy. Sisi waafrika tunaishi katika.udugu wa kiafrika. Mtoto ni mali ya jamii nzima. Nikimuona mtoto wako ana haribikiwa napaswa kuumia kana kwamba ni mtoto wangu. Hivyo ndivyo waafrika tunavyo ishi tangu enzi za Pontyo wa Pilato.Kila mtu amlee mwanae, hayo mambo ya kupangiana kila mtu aishi kama unavyotaka wewe ni adabu za kale.
Nimekosa mimi nimekosa mimi nimekosa sanaWewe pia huna tofauti na huyo Country Boy. Umeshindwa nini kuandika kwa lugha adhimu ya kiswahili ukachanganya na kiingereza? Watu mnaoandika kwa kuchanganya lugha akili zenu ni kama za huyo Country Wizzy.
Daaaaah Nyie watu waelevu mnatusumbua sana wenye akili za kawaida[emoji22]Raising an African kid who lives in Africa as a " ghetto African American kid" amount to child abuse. This kid is being abused.
Country boy ana mnyanyasa mtoto wake.
The " nigga wannabe guy" thinks Mikocheni B is the Bronx.
Don't be surprised when this fool start to smoke some joint with the kid.
The white owned BET have succeeded to manipulate the mindsets of a millions of African people globally.
The BET don't want African kids to dream of being the Greatest Engineers, Successful Business persons etc, they just want all of your kids to be looking at people like Rick Ross and Snoop Dogg as their role models.
It is only a very foolish African father who would want his son to front like a ghetto raised African American guy.
Jay Z mwenyewe aliuza unga lakini watoto wake hawezi kuwaletea pigo za ki_street niggaz.Ni ukweli lakini kwa wasanii ulidhani atamlea mwanae kama Obama? Ndo maisha walochagua hayo mkuu
Huyo chalii babake ni country boy baba mkubwa ni babuu wa kitaa na mama yake utakuta ni video vixen unategemea nini hapo?Jay Z mwenyewe aliuza unga lakini watoto wake hawezi kuwaletea pigo za ki_street niggaz.
Watoto ni lazima walelewe vyema na sio vile unavyotaka wewe. Bila hivyo tutaendelea kuzalisha vizazi vya panya road watakaokuja kutudhuru na kujaza magereza huku wakila Kodi ambao zingeweza kuleta maendeleo badala ya kulisha wahalifu.Kila mtu amlee mwanae, hayo mambo ya kupangiana kila mtu aishi kama unavyotaka wewe ni adabu za kale.
Aisee! Nimecheka Sana.Huyo chalii babake ni country boy baba mkubwa ni babuu wa kitaa na mama yake utakuta ni video vixen unategemea nini hapo?
NakaziaWatoto ni lazima walelewe vyema na sio vile unavyotaka wewe. Bila hivyo tutaendelea kuzalisha vizazi vya panya road watakaokuja kutudhuru na kujaza magereza huku wakila Kodi ambao zingeweza kuleta maendeleo badala ya kulisha wahalifu.
Babuu wa kitaa yupo smart sana. Hana utoto utoto kama wa county wize na sidhani kama anaweza kumletea mtoto wake pigo hizoHuyo chalii babake ni country boy baba mkubwa ni babuu wa kitaa na mama yake utakuta ni video vixen unategemea nini hapo?
mimi huwa nahisi jamaa ni mchawi kabisa.We jamaa una roho ya kichawi
Watoto ni lazima walelewe vyema na sio vile unavyotaka wewe. Bila hivyo tutaendelea kuzalisha vizazi vya panya road watakaokuja kutudhuru na kujaza magereza huku wakila Kodi ambao zingeweza kuleta maendeleo badala ya kulisha wahalifu.
Binafsi sijaona kosa.. kweli tunatofautiana aisee [emoji23]Raising an African kid who lives in Africa as a " ghetto African American kid" amount to child abuse. This kid is being abused.
Country boy ana mnyanyasa mtoto wake.
The " nigga wannabe guy" thinks Mikocheni B is the Bronx.
Don't be surprised when this fool start to smoke some joint with the kid.
The white owned BET have succeeded to manipulate the mindsets of a millions of African people globally.
The BET don't want African kids to dream of being the Greatest Engineers, Successful Business persons etc, they just want all of your kids to be looking at people like Rick Ross and Snoop Dogg as their role models.
It is only a very foolish African father who would want his son to front like a ghetto raised African American guy.
Shida iko wapi hapo!!!??? Punguza chuki na roho mbayaRaising an African kid who lives in Africa as a " ghetto African American kid" amount to child abuse. This kid is being abused.
Country boy ana mnyanyasa mtoto wake.
The " nigga wannabe guy" thinks Mikocheni B is the Bronx.
Don't be surprised when this fool start to smoke some joint with the kid.
The white owned BET have succeeded to manipulate the mindsets of a millions of African people globally.
The BET don't want African kids to dream of being the Greatest Engineers, Successful Business persons etc, they just want all of your kids to be looking at people like Rick Ross and Snoop Dogg as their role models.
It is only a very foolish African father who would want his son to front like a ghetto raised African American guy.