Tazama video: Kumbe Country Boy ndio mshamba namna hii?

Tazama video: Kumbe Country Boy ndio mshamba namna hii?

Kila mtu amlee mwanae, hayo mambo ya kupangiana kila mtu aishi kama unavyotaka wewe ni adabu za kale.
 
Kila mtu amlee mwanae, hayo mambo ya kupangiana kila mtu aishi kama unavyotaka wewe ni adabu za kale.
Na wewe umekuwa brain washed kama country boy. Sisi waafrika tunaishi katika.udugu wa kiafrika. Mtoto ni mali ya jamii nzima. Nikimuona mtoto wako ana haribikiwa napaswa kuumia kana kwamba ni mtoto wangu. Hivyo ndivyo waafrika tunavyo ishi tangu enzi za Pontyo wa Pilato.

Kwa mindset yako mkuu unatakiwa ukaishi brooklyn but sio Afrika.
 
Raising an African kid who lives in Africa as a " ghetto African American kid" amount to child abuse. This kid is being abused.

Country boy ana mnyanyasa mtoto wake.

The " nigga wannabe guy" thinks Mikocheni B is the Bronx.

Don't be surprised when this fool start to smoke some joint with the kid.

The white owned BET have succeeded to manipulate the mindsets of a millions of African people globally.

The BET don't want African kids to dream of being the Greatest Engineers, Successful Business persons etc, they just want all of your kids to be looking at people like Rick Ross and Snoop Dogg as their role models.

It is only a very foolish African father who would want his son to front like a ghetto raised African American guy.
Daaaaah Nyie watu waelevu mnatusumbua sana wenye akili za kawaida[emoji22]
 
Kila mtu amlee mwanae, hayo mambo ya kupangiana kila mtu aishi kama unavyotaka wewe ni adabu za kale.
Watoto ni lazima walelewe vyema na sio vile unavyotaka wewe. Bila hivyo tutaendelea kuzalisha vizazi vya panya road watakaokuja kutudhuru na kujaza magereza huku wakila Kodi ambao zingeweza kuleta maendeleo badala ya kulisha wahalifu.
 
Watoto ni lazima walelewe vyema na sio vile unavyotaka wewe. Bila hivyo tutaendelea kuzalisha vizazi vya panya road watakaokuja kutudhuru na kujaza magereza huku wakila Kodi ambao zingeweza kuleta maendeleo badala ya kulisha wahalifu.
Nakazia
 
Huyo chalii babake ni country boy baba mkubwa ni babuu wa kitaa na mama yake utakuta ni video vixen unategemea nini hapo?
Babuu wa kitaa yupo smart sana. Hana utoto utoto kama wa county wize na sidhani kama anaweza kumletea mtoto wake pigo hizo
 
Watoto ni lazima walelewe vyema na sio vile unavyotaka wewe. Bila hivyo tutaendelea kuzalisha vizazi vya panya road watakaokuja kutudhuru na kujaza magereza huku wakila Kodi ambao zingeweza kuleta maendeleo badala ya kulisha wahalifu.

LIKUD wewe ni judgemental sana. Life isn't like that bruh. Some other things aren't serious. As long as he provide for the junior, then he's a good father. Do you know how many children see their fathers only in the pictures?
 
Raising an African kid who lives in Africa as a " ghetto African American kid" amount to child abuse. This kid is being abused.

Country boy ana mnyanyasa mtoto wake.

The " nigga wannabe guy" thinks Mikocheni B is the Bronx.

Don't be surprised when this fool start to smoke some joint with the kid.

The white owned BET have succeeded to manipulate the mindsets of a millions of African people globally.

The BET don't want African kids to dream of being the Greatest Engineers, Successful Business persons etc, they just want all of your kids to be looking at people like Rick Ross and Snoop Dogg as their role models.

It is only a very foolish African father who would want his son to front like a ghetto raised African American guy.
Binafsi sijaona kosa.. kweli tunatofautiana aisee [emoji23]
 
Raising an African kid who lives in Africa as a " ghetto African American kid" amount to child abuse. This kid is being abused.

Country boy ana mnyanyasa mtoto wake.

The " nigga wannabe guy" thinks Mikocheni B is the Bronx.

Don't be surprised when this fool start to smoke some joint with the kid.

The white owned BET have succeeded to manipulate the mindsets of a millions of African people globally.

The BET don't want African kids to dream of being the Greatest Engineers, Successful Business persons etc, they just want all of your kids to be looking at people like Rick Ross and Snoop Dogg as their role models.

It is only a very foolish African father who would want his son to front like a ghetto raised African American guy.
Shida iko wapi hapo!!!??? Punguza chuki na roho mbaya
 
Back
Top Bottom