Tazama video: Kumbe Country Boy ndio mshamba namna hii?

Tazama video: Kumbe Country Boy ndio mshamba namna hii?

Country boy ni mshamba sana, design ya wannabe fulani anayeishi kwenye fantasy. Ni mtu mwenye njaa ya kutaka kuonekana mnyamwezi kuliko hata njaa ya kutafuta pesa.

Is there someone to tell that kid that he is African from third world he will never be Black American. Never ever

Though he is a very good guy!
 
Country boy ni mshamba sana, design ya wannabe fulani anayeishi kwenye phantasy. Ni mtu mwenye njaa ya kutaka kuonekana mnyamwezi kuliko hata njaa ya kutafuta pesa.

Is there someone to tell that kid that he is African from third world he will never be Black American. Never ever

Though he is a very good guy!
You should be the one telling him that..🤣🤣🤣
 
Jay Z mwenyewe aliuza unga lakini watoto wake hawezi kuwaletea pigo za ki_street niggaz.
Jay-Z grew up in the in the Marcy Projects at a time when crack cocaine became a major threat to low income areas. His father left when he was 11 years old, leaving him to figure out life on his own. Nigga got composed , got out of projects now jamaa anaish Bel Air na watoto wanaishi decent. Usifanye mchezo na Trenches in the USA ni crime ridden areas na ni hatari sana, sasa sio vizuri kumlea mtoto like your raising a pimp in West Garfield Park in Chicago..
 
Jay-Z grew up in the in the Marcy Projects at a time when crack cocaine became a major threat to low income areas. His father left when he was 11 years old, leaving him to figure out life on his own. Nigga got composed , got out of projects now jamaa anaish Bel Air na watoto wanaishi decent. Usifanye mchezo na Trenches in the USA ni crime ridden areas na ni hatari sana, sasa sio vizuri kumlea mtoto like your raising a pimp in West Garfield Park in Chicago..
Nakazia
Hiki ndicho ninacho kizungumzia hapa ila vilaza hawawezi kujua ninacho kisema wamebaki kusema am a hater
 
Country boy ni mshamba sana, design ya wannabe fulani anayeishi kwenye fantasy. Ni mtu mwenye njaa ya kutaka kuonekana mnyamwezi kuliko hata njaa ya kutafuta pesa.

Is there someone to tell that kid that he is African from third world he will never be Black American. Never ever

Though he is a very good guy!
Nakazia
 
Raising an African kid who lives in Africa as a " ghetto African American kid" amount to child abuse. This kid is being abused.

Country boy ana mnyanyasa mtoto wake.

The " nigga wannabe guy" thinks Mikocheni B is the Bronx.

Don't be surprised when this fool start to smoke some joint with the kid.

The white owned BET have succeeded to manipulate the mindsets of a millions of African people globally.

The BET don't want African kids to dream of being the Greatest Engineers, Successful Business persons etc, they just want all of your kids to be looking at people like Rick Ross and Snoop Dogg as their role models.

It is only a very foolish African father who would want his son to front like a ghetto raised African American guy.
We jamaa hata avatar yako imekaa kiwaki sana, kinafiki, kiroho mbaya yan una wivu wa kichawi na kipumbavu sana. Unajifanya unajua kila kitu we kuponda watu tu. Jirekebishe, blad fckn
 
We jamaa hata avatar yako imekaa kiwaki sana, kinafiki, kiroho mbaya yan una wivu wa kichawi na kipumbavu sana. Unajifanya unajua kila kitu we kuponda watu tu. Jirekebishe, blad fckn
K
 
Back
Top Bottom