Pre GE2025 Tazama Video Watu wamiminika na kufurika kwa Rais Samia mpaka Aamua kujipiga picha kwa furaha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Zile Nyaraka Za Watumishi Kuacha Kazi Kuujaza Uwanja Hukuziona Wewe
 
sasa Mama kama ni mpira pira biriani,misambusasambusa,chachori kiufupi tubadilishe katiba awe rais wa maisha, yule mzee wa konyagi atulie kdg asijeanguka kny ngazi.
 
Wanyonge kama wanyonge mupo????? Piga kelele kwa wanyonge wake!!!!!
 
Alianza kuweka namba ya simu, sasa hivi anaweka majina yake matatu yote, soon tutarajie namba yake ya NIDA ila jamaa wamemfungia vioo kama hawamuoni.

Wakiendelea kumpuuza atafungua ID mpya aje kuwatukana humu kama hajafungua bado.
Lucas Mwashambwa wanamuona chizi anawatia aibu. 2mbili alimpiga chini baada ya kuona kuwa hamsaidii chochote zaidi ya kumchafua so kibarua kikaota nyasi.
 
Mama wa Taifa saa 💯 🔥🔥🔥
 
Wakati hao ni waalimu wote na watendaji wa mitaa mkoa mzima na makada wa chama!!! Watu wapo wap??
 
Ungeambatanisha na ile barua inayowataka wakuu wa idara na shule zote kufunga ofisi na kwenda kwenye mikutano hiyo.

Ofisi za umma kufungwa na Shule za msingi na Sekondari kuwalazimisha wanafunzi kuhudhuria mikutano.

Hivi mnajielewa kweli.
Tunajua hamwezi kujitathimini,ila kiufupi mnakengeuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…