Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ahame CCM tutamuunga mkonoTuendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Ni kama tu nyie chadema mnavyo zungusha helikopta yenu nusu saa angani kuwavutia watu!Tamasha hilo limenogeshwa na Diamond!
Acha vichekesho vyakoLabda ahame CCM tutamuunga mkono
Endelea kupiga mayowe.Zile Nyaraka Za Watumishi Kuacha Kazi Kuujaza Uwanja Hukuziona Wewe
CHADEMA wamechanganyikiwaNi kama tu nyie chadema mnavyo zungusha helikopta yenu nusu saa angani kuwavutia watu!
Wanyonge kama wanyonge mupo????? Piga kelele kwa wanyonge wake!!!!!Ndugu zangu Watanzania,
Haya ni mahaba kwa Rais Samia ambayo watanzania wanampatia Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Hii haijawahi kutokea popote pale Barani Afrika kwa Kiongozi kupendwa kiasi hiki mpaka watu wanaishiwa nguvu za kusimama kutokana na kuzidiwa na furaha na upendo kwa Rais Samia. Kwa hakika Rais Samia ni chaguo la Mungu Mwenyewe.huyu siyo mtu wa kawaida.katika jicho la kiroho inaonyesha namna Mungu alivyo pamoja na Rais Samia.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu unajua hata CCM pamoja na akili zao za kijinga lakini wanaona mtu kama Lucas Mwashambwa na Etwege ni wajinga kuliko hata hiyo CCMHawajatoa machozi ya furaha kweli?
Ila safari hii wasipokupa hata umessenger pale Lumumba hamia CHAUMA kwa Hashim Rungwe ule japo pilau.
Lucas Mwashambwa wanamuona chizi anawatia aibu. 2mbili alimpiga chini baada ya kuona kuwa hamsaidii chochote zaidi ya kumchafua so kibarua kikaota nyasi.Alianza kuweka namba ya simu, sasa hivi anaweka majina yake matatu yote, soon tutarajie namba yake ya NIDA ila jamaa wamemfungia vioo kama hawamuoni.
Wakiendelea kumpuuza atafungua ID mpya aje kuwatukana humu kama hajafungua bado.
Mama wa Taifa saa 💯 🔥🔥🔥Ndugu zangu Watanzania,
Haya ni mahaba kwa Rais Samia ambayo watanzania wanampatia Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Hii haijawahi kutokea popote pale Barani Afrika kwa Kiongozi kupendwa kiasi hiki mpaka watu wanaishiwa nguvu za kusimama kutokana na kuzidiwa na furaha na upendo kwa Rais Samia. Kwa hakika Rais Samia ni chaguo la Mungu Mwenyewe.huyu siyo mtu wa kawaida.katika jicho la kiroho inaonyesha namna Mungu alivyo pamoja na Rais Samia.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Una maana kuwa kama wangejitambua mtu kama Lucas Mwashambwa asingezaliwa?Kwa taarifa yako kizazi kile ndio kimezaa kizazi hiki. Kama wangejitambua wale tusingefika hapa leo.
Wakati hao ni waalimu wote na watendaji wa mitaa mkoa mzima na makada wa chama!!! Watu wapo wap??Ndugu zangu Watanzania,
Haya ni mahaba kwa Rais Samia ambayo watanzania wanampatia Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Hii haijawahi kutokea popote pale Barani Afrika kwa Kiongozi kupendwa kiasi hiki mpaka watu wanaishiwa nguvu za kusimama kutokana na kuzidiwa na furaha na upendo kwa Rais Samia. Kwa hakika Rais Samia ni chaguo la Mungu Mwenyewe.huyu siyo mtu wa kawaida.katika jicho la kiroho inaonyesha namna Mungu alivyo pamoja na Rais Samia.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kweli umechanganyikiwa mpaka umepofuka akili na machoWakati hao ni waalimu wote na watendaji wa mitaa mkoa mzima na makada wa chama!!! Watu wapo wap??
Rais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuuWanyonge kama wanyonge mupo????? Piga kelele kwa wanyonge wake!!!!!
Pamoja mnyonge no 1, japo watu wanakuona kama chizi lakini mimi nakuona una madini adhimu sanaRais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu