Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
kwa maendeleo anayoleta huyu mama ni kama mujiza wallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawa first classHii haijawahi kutokea popote pale Barani Afrika kwa Kiongozi kupendwa kiasi hiki mpaka watu wanaishia nguvu za kusimama kutokana na kuzidiwa na furaha na upendo kwa Rais Samia. Kwa hakika Rais Samia ni chaguo la Mungu Mwenyewe.huyu siyo mtu wa kawaida.katika jicho la kiroho inaonyesha namna Mungu alivyo pamoja na Rais Samia.
Mkuu tukitaja aina ya uzuzu wao uzi utafungwa woteNajiuliza kama watanzania wa 2024 wapo na uzuzu hivi ... Je wa 1961 walikuwaje? tuna safari ndefu sana
👋🤣Hawajatoa machozi ya furaha kweli.
Ila safari hii wasipokupa hata umessenger pale Lumumba hamia CHAUMA kwa Hashim Rungwe ule japo pilau.
Basi kwa taarifa yako hiko kizazi cha miaka ya 60 mwisho 80 kilikua kizazi jeuri kweli kweli huwaambii kitu, Nyerere alinusurika kupinduliwa mara mbiliNajiuliza kama watanzania wa 2024 wapo na uzuzu hivi ... Je wa 1961 walikuwaje? tuna safari ndefu sana
Mkuu wale walijitambua sana, kwanza walipata elimu ya kikoloni iliyokuwa na viwango, huyu wetu sijui amesoma wapi ila haiwezi kuwa TukuyuNajiuliza kama watanzania wa 2024 wapo na uzuzu hivi ... Je wa 1961 walikuwaje? tuna safari ndefu sana
Walikubali vp Nyerere kutawala kiimla na kuacha ombwe hili la CCM mpaka leo? Ikiwa unasema walikuwa Wabishi?! Wale ndio wamezalisha hichi kizazi Ovyo cha leo.Basi kwa taarifa yako hiko kizazi cha miaka ya 60 mwisho 80 kilikua kizazi jeuri kweli kweli huwaambii kitu, Nyerere alinusurika kupinduliwa mara mbili
Na bado kwenye mikutano watu walikua wanakuja kubishana
Kwa taarifa yako kizazi kile ndio kimezaa kizazi hiki. Kama wangejitambua wale tusingefika hapa leo.Mkuu wale walijitambua sana, kwanza walipata elimu ya kikoloni iliyokuwa na viwango, huyu wetu sijui amesoma wapi ila haiwezi kuwa Tukuyu
Tanabaisha kazi yako sasa,maana unaleta mambo ya CHAMA tu,sema wewe umejiajiri au umeajiriwa kufanya kipi,watu wakujue pale LUMUMBA au DODOMA makao makuu.Mimi Sitafuti uteuzi ndugu yangu.mimi ni Mzalendo naye fanya kazi kwa kujitolea na kwa hiyari kabisa
Ukute huu jamaa ni Abdul mzee wa TK Movement.Ndugu zangu Watanzania,
Chawa si mpambe.Mpambe lazima awe na akili huyu hana akili kabisa sijui anavukaje barabara.Comment yako imenitoa machozi ya furaha😂😂😂😂.
Ila mimi nakukubali sana. Nikiingia kwenye siasa nitafanya juu chini uwe mpambe wangu.
🤣🤣🤣🤣🙌LUca kakububujisha machozi ya furaha mkuu
Huenda anayo kuna mwingine amefungua uzi sijui ni pacha wakeAlianza kuweka namba ya simu, sasa hivi anaweka majina yake matatu yote, soon tutarajie namba yake ya NIDA ila jamaa wamemfungia vioo kama hawamuoni.
Wakiendelea kumpuuza atafungua ID mpya aje kuwatukana humu kama hajafungua bado.
Comment yako imenitoa machozi ya furaha😂😂😂😂.
Ila mimi nakukubali sana. Nikiingia kwenye siasa nitafanya juu chini uwe mpambe wangu.
Ww umejuaje kama wamemfungia vioo, kwasababu hajateuliwa au?Alianza kuweka namba ya simu, sasa hivi anaweka majina yake matatu yote, soon tutarajie namba yake ya NIDA ila jamaa wamemfungia vioo kama hawamuoni.
Wakiendelea kumpuuza atafungua ID mpya aje kuwatukana humu kama hajafungua bado.
Kiukweli Rais Samia anapendwa na kukubalika haijawahi kutokeaInafurahisha sana.....watu Wana mahaba na Mama Samia.
Nchi imetulia,furaha ipo kwa wananchi..mioyo imejaa matumaini.
Na wewe umetokea wapi bwashee??Ww umejuaje kama wamemfungia vioo, kwasababu hajateuliwa au?