maneno roberts
Senior Member
- Jan 17, 2014
- 124
- 36
Wewe umeifanyia nini jamii? Vipi shule uliyosoma umeifanyia nini? Anza wewe ndipo ndugu malinzi afuate!
cjui watu wengine tuwaiteje nikikuuliza kabila gani watasema ni ukabila huo.Jaribu kutembea kidogo hv nani kakwambia W.ya Missenyi ina shida ya maji kama Kakola,Msalala,Segese na maeneo mengine ya mkoa wa shinyanga? Tatizo la Kagera ni bei ya Kahawa jambo ambalo Malinzi co mhusika.
Owaishe, achana nao hawajui historia ya Malinzi family. Tunafanya mambo kama familia moja na hakuna individualism! Hiyo ni mali ya Malinzi family (Ta Emily) iliyopatikana kwa nguvu ya wote. Matola, after all these are private affairs!
Malinzi amefafanua kuwa hicho ni kitega uchumi na kivutio cha watalii, lakini wewe division five huelewi. Unataka tuwavutie watalii kwa kutumia makalio yako au?
Matola Chutama chap chap umeshavuliwa msuli..!Matola ni vyema ukaongelea jambo ambalo una uhakika nalo.
Hizo picha hapo juu ndipo mimi nilipozaliwa na kukulia pamoja na kaka yangu Dioniz na ndugu zangu wote.For some reasons ambazo sina haja ya kuzizungumzia hapa wazazi wetu baba na mama (Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi) hawakuzikwa hapa na ndio maana familia ikaamua kupaendeleza kama unavyo paona.Taratibu za uendeshaji wa familia yetu kabla na baada ya wazazi wetu kufariki si suala la kuzungumzia hapa jf.
Ahsante.
Ukiwa na mawazo ya kiomba omba kama wewe ni vigumu sana nchi kuendelea. Huwezi kusubstitute uwanja wa Golf na visima vya maji wewe fa.la. Kazi ya kutoa huduma za jamii ni ya serikali na kama mtu akijitolea ni kwa utashi binafsi. Mawazo ya kibwabwa kama yako ndio yamefanya nchi izidi kuwa maskini.
Kwani angejenga au kuboresha viwanja vya soka ambalo linachezwa na kila aina ya mtu/kijana awe maskini au tajiri, kungekuwa na makosa? Unadhani gofu wanacheza vijana wangapi hapo misenyi? Mnunulie mwanao vifaa vya gofu akacheze uone gharama za hivyo vifaa kama unadhani ni bei rahisi.
kwani huo uwanja hapo misenyi utawafaidisha vijana? Zaidi watacheza watu wenye pesa wewe maskini utaenda kukenua meno tu na kuwaangalia lakini ingekuwa uwanja wa soka vijana wangekuza vopaji na hata kuachana na michepuko.
We ndiyo chizi tena unafikiria kwa kutumia makalio, unadhani kusaidi wananchi haswa kule kijini kwenu au ulipozaliwa siyo jukumu lako ni la serikali tu! Kwani ukisaidia huoni kuwa wananchi watakuwa wanakukumbuka kwa kwa matendo yako mema kwao? Badilika usidhani ukiwa na pesa huwezi kusaidia watu!!!!!!
Kitegauchumi cha watalii, hahahaa mimi sina ubongo wa samaki kama wewe, anawadanganya kivutio cha watalii wakacheze gofu misenyi, si bora anganzisha zoo, ili hata wewe uwe unampeleka mwanao akashangae wanyama.
Wewe fa.la una mchango mkubwa sana katika umaskini wa hii nchi. Ukishakuwa na fikra za kimaskini namna hii ni vigumu sana kukomboa nchi yako kiuchumi. Akina Malinzi wamekuwa Pro Active, wanajua kuna fursa inakuja ya uwanja wa ndege wa kimataifa hapo Misenyi. Kuna mizungu kibao inatafuta Holiday destination huku Afrika lakini inakosa kwa vile hakuna vitu kama viwanja vya Golf kwa ajili ya wao kula burudani, kukiwa na uwanja kama huo then ukatangazwa watu wataenda tu. Ujinga wako ndio umaskini wako. Wewe kama ni maskini you never know mwanao atakuwaje, huenda ndiye atakayeenda kucheza Golf Misenyi. Think big wewe fa.la
We chizi mimi sio Mhaya,,,Kwani kusaidia kwenu ni kuomba omba tatizo lenu WAHAYA mnajifanya huko kwenu hakuna shida wala maskini hawapo, yaani mnajifanya huko ni mabilione tu ndo waliopo Kagera, acheni ujivuni na sifa ambazo hazina mantiki. Kwani wewe ukijenga au kukarabati uwanja wa mpira vijana wakacheza utakuwa umeondokewa na nini?
We jamaa unapenda vitu vya bure sana...yahani unalalamika kwanini Jamaal na familia hawajatoa msaada kwani wao wamekua USAid au TASAF..?? Watu wapo kibiashara zaidi..na golf si kwa ajili ya watu wa misenyi hiyo ni eneo tu..golf ni kwa ajili ya matajiri wachache na hiko hivyo dunia nzima...sasa we ka umekaa tu hufanyi kazi upo tu unapigia hesabu utajiri wa malinzi ukisubiri akupe vitu vya bure wakati mwenzako halali kila siku anawaza vyanzo vipya vya mapato ndugu yangu utakufa kwa umasikini siku si nyingi..
Mkuu weka Malinzi Identity yako hapa ndio tukuamini kuwa na wewe ni mmoja wa wana familia. Malinzi ameishaongea na kumaliza ubishi.
Mkuu weka Malinzi Identity yako hapa ndio tukuamini kuwa na wewe ni mmoja wa wana familia. Malinzi ameishaongea na kumaliza ubishi.
Hili ndilo tatizo letu watz linalopelekea hata mamlaka kuu kutangaza 'kilimo kwanza' badala ya 'elimu (ya kilimo) kwanza'. Kwenye maisha kuna preferences na hizi zinatofautiana kwa kila binadamu kama ilivyo alama za vidole. Ndio maana America wamekuja na wazo la 'liberty' ili kila mtu afikiri na kufanya kivyake mradi asivunje sheria za nchi.Unatetea nini sasa,utakula golf au utakunywa golf? Hlf mwenyewe ame declare kwamba ni kitega uchumi cha family yao sio cha community, we VP?
Wewe zuzu katafute bwana mbele uko nyambafu wewe, mleta mada alipotosha kwa kusema hii ni Project ya Jamal Malinzi in personal kitu ambacho si kweli, na kwa mtoto wamjini yeyote anajuwa ukwasi alionao Dioniz na ni mwenyekiti wa chama cha golf Tanzania pia siyo mtu wa mbwembwe na kujitangaza.
Wewe umekuja mjini na mbio za mwenge tuliza makalio yako hujui lolote.
Picha za ziada na chanzo hapo chini. Hongera Jamal Malinzi
HARAKATINEWS BLOG: Viwanja vya Golf kwa Rais wa TFF Jamal Malinzi Wilayani Missenyi
Mkuu weka Malinzi Identity yako hapa ndio tukuamini kuwa na wewe ni mmoja wa wana familia. Malinzi ameishaongea na kumaliza ubishi.
Matola ni vyema ukaongelea jambo ambalo una uhakika nalo.
Hizo picha hapo juu ndipo mimi nilipozaliwa na kukulia pamoja na kaka yangu Dioniz na ndugu zangu wote.For some reasons ambazo sina haja ya kuzizungumzia hapa wazazi wetu baba na mama (Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi) hawakuzikwa hapa na ndio maana familia ikaamua kupaendeleza kama unavyo paona.Taratibu za uendeshaji wa familia yetu kabla na baada ya wazazi wetu kufariki si suala la kuzungumzia hapa jf.
Ahsante.
Kwahiyo hiyo biashara inawasaidiaje wazawa wa hapo? na wewe unaubongo wa samaki kama mwenziyo anayedai eti wazungu watakuja. Subirini waje wawapige dada zenu katerero hafu nyie mtakuwa mnagawiwa kondomu ili mchepuke vizuri.