Tazameni Ulevi mwingine wa Madaraka wa huyu RC

Tazameni Ulevi mwingine wa Madaraka wa huyu RC

Kaongea vizuri sana, wewe mleta mada una tatizo kubwa!
Mental health inakuhusu!
 
Kweli ulevi haufai popote pale duniani.

Tazameni Mkuu wa Mkoa anawalazimisha wananchi wenye ndoa wasiachane.

Hivi huu ulevi ameutoa wapi au kwa sheria ipi anayotumia kuingilia ndoa za watu?

Hakika nchi hii ni ngumu sana kuishi bila kucheka.

View attachment 2624573
Ana ujumbe
 
Sasa mkuu unataka uishi bila kucheka?? Viongozi nao wanatakiwa wachekeshaji kama hawa.
Kweli ulevi haufai popote pale duniani.

Tazameni Mkuu wa Mkoa anawalazimisha wananchi wenye ndoa wasiachane.

Hivi huu ulevi ameutoa wapi au kwa sheria ipi anayotumia kuingilia ndoa za watu?

Hakika nchi hii ni ngumu sana kuishi bila kucheka.

View attachment 2624573
 
Mkoa wa RUKWA huna hali mbaya sana wa watoto wa Mitaani (machokoraa)
Na vibinti kubeba Mimba ndio Balaa zaidi.
Mkuu wa Mkoa yuko sahihi kwa hili.
 
Kweli ulevi haufai popote pale duniani.

Tazameni Mkuu wa Mkoa anawalazimisha wananchi wenye ndoa wasiachane.

Hivi huu ulevi ameutoa wapi au kwa sheria ipi anayotumia kuingilia ndoa za watu?

Hakika nchi hii ni ngumu sana kuishi bila kucheka.

View attachment 2624573
Ulifanya 'critical thinking's utabaini kuwa amaanishi watu wasiachane. Anachomaanisha pale, anayeamua kuachana/ kuacha mwenza., atengeneze mazingira mazuri ya watoto kuishi huku wakipata huduma muhimu. Na sio watoto kukosa huduma.
 
Rc anaingiliaje personal affairs zako? Kwa sheria ipi?
Kuachana sio personal affair... kuachana ni cross- sectional affair.
Watoto wanakosa huduma halafu wanakuwa panya road wewe unasema personal affair? Think critical na mantically kauli ile utaelewa.
 
Wewe umezoea story za sugu na mkewe mara Mbowe na mkewe wanaachana unaona kawaida huwezi kuwa na akili za kuona ndoa ni jambo la msingi

Watu wengi wangekuwa hawashauriwi kukaa pamoja na kuombana misamaha ndoa nyingi zisingekuwepo

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu lini neno 'marufuku' ikawa ushauri?!
 
Ulifanya 'critical thinking's utabaini kuwa amaanishi watu wasiachane. Anachomaanisha pale, anayeamua kuachana/ kuacha mwenza., atengeneze mazingira mazuri ya watoto kuishi huku wakipata huduma muhimu. Na sio watoto kukosa huduma.
Yeye hana mandate kuingilia ndoa za watu.

Vinginevyo kama alikuwa anatoa ushauri basi angetumia lugha rafiki.
 
Kuachana sio personal affair... kuachana ni cross- sectional affair.
Watoto wanakosa huduma halafu wanakuwa panya road wewe unasema personal affair? Think critical na mantically kauli ile utaelewa.
Hana mamlaka ya kuingilia maisha ya ndani ya wananchi
 
Back
Top Bottom