TAZARA (1960 tech) vs Kenyan SGR (2017 Tech)

watanzania wamepotea wote!! lol!!πŸ˜±πŸ˜±πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™„πŸ™„ rudini muendelee kusema vil wachina sio watu wazuri...mbona mmekimbia???πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
To be honest wachina wamejenga majengo mazuri lakini sio reli yenye teknolojia ya kisasa. Tusikatae ukweli hata kama mchungu . Lakini Kenya wameleta changamoto kwa afrika mashariki . Pia ingekua vizuri kama afrika mashariki wangefanya integration ya railway network as same region ingeleta manufaa kwenye utalii , kilimo kwa sababu ingeleta fursa kwa nchi zote za afrika mashariki kuwa kama kitu kimoja. Vinginevyo east Africa community ni useless. Just my opinion
 
I agree with you
 
TAZARA used to be the latest rail in East and Central Africa,soon our SGR will restore our glory.
 
TAZARA used to be the latest rail in East and Central Africa,soon our SGR will restore our glory.
TAZARA will always remain magnificent, soon tutaongea Habari nyingine.

===++++
Bombardier backs TAZARA | TAZARA

As one of the strategies for repositioning ourselves towards boosting our haulage capacity, on 6th September 2017 in Dar es Salaam, we signed a Memorandum of Understanding (MoU) with Bombardier Transportation to explore possibilities for investment cooperation.

With access to possible international funding options to support the revitalization of TAZARA, Bombardier Transportation has offered a preliminary turnkey solution for TAZARA to increase efficiency and capacity in the areas of track, rolling stock, signalling and telecommunications.

Following the signing of the MoU, we shall now create a joint team to undertake a feasibility study that will define and agree on the scope of the partnership, after which Bombardier Transportation will submit a full technical and financial proposal for our consideration.
 
Sasa hii Subway ya nchi ya watu na wewe umeifanga Kenya SGR? Noma sana.
hio tu ndio umeona??πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ what abt the rest...i sense some wivu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
tutaonekana wajinga kama tutaendelea shindanan na mtu mwenye nacho tayari. sisi yetu ndio kwanza inataka jengwa vipi kama hayo matumaini yetu yakiwa tofauti na picha
tell themπŸ˜€πŸ˜€
 

Shida ya Wakenya ni kuwa wao wanaona kila kitu kizuri kipo kwao, sasa hawajui kuwa Tazara ndio ilikuwa rail ya kisasa kuliko rail zote za Africa Mashariki na Kati, ndio sasa imeshuka baada ya Ethiopia na Kenya kujenga yao,
Issue ya Kenya tunawaambia, majengo yao yako vizuri sana, lakini hizo engine wamepigwa kama walivyopigwa kwenye ujenzi wa rail yenyewe,
Hizo engine tulishakiwa nazo Tanzania kama kaka REDEEMER. Alivyoziweka kwenye mwanzo wa uzi hapo juu

Hapo ni engine za Tazara zikishushwa Bandarini miaka ya 70



Hizo ni engine za Kenya za Standard Gauge, hebu angalia hiyo engine yenye pua alafu tofautisha na ya Tazara hapo chini


Hii ni ya Tazara, we huoni kuwa hao jamaa wamepigwa?, sasa wanachojisifia ni kipi?, wao ndio wanapata sa hizi kumbe sisi tunazo

 
reli zote za mizigo duniani zinakaa hivi...uende america,australia,japan ,argentina ni hivo hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…