The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
U
Ndio maana nakwambia kua akili huna,na hapo umesha changanyikiwa tayari,wapi mimi nimeandika hiyo foreigner investors?hahaha, sasa umeandika nini hapa, mtu mwenye akili timamu akikusoma unafikiri anakuelewa wewe ni mtu wa aina gani? ongea hoja basi. unajiaibisha bure. wewe unakuja hapa mbele ya watu wenye akili, badala ya kusema "foreign investors" unasema "foreigner investors" afu unataka tuseme hujaongea boko, una akili kweli?