Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au mods mnasemaje??? [emoji23][emoji23][emoji23]Kabeba na kamto na kagodoro kadogo ili asiumie mbavu na shingo. Tutaamini vp kwamba hajabeba msosi kidogo.
Au modds mnasemaje?
Achana na Sato, kuna Ningu, Gogo na Nembe.Bora Joshua kuliko Yohana, kaacha Vita, kajificha Chato anakula Sato
Dah me bila kuwachokonoa mods siku yangu haiwi nzuri kabisa.
Mbofu, mumi, furu, kamongoAchana na Sato, kuna Ningu, Gogo na Nembe.
Yohana anajifusha kwanza akirudi mwezi wa 10 hakuna cha kumtisha tena. Na sisi tuige mfano wake kwa kuendelea kujifukiza tu.Bora Joshua kuliko Yohana, kaacha Vita, kajificha Chato anakula Sato
Hahaha kumbe ole o gukaya nyanoko bhebheMbofu, mumi, furu, kamongo
huwezi kujua majibu ya hii kitu yatapitia wapi? yawezekana kwa wanasayansi ama kwa imani ....Jaman 2cpende kukosoa uamuzi wa wa2 wa mungu
Hizi imani zingine lakini kha!Mchungaji maarufu duniani anayetokea katika taifa la Nigeria TEMITOPE BALOGUN JOSHUA alimaarufu kama TB JOSHUA ameamua kufunga na kupanda milimani kwa ajili ya maombi maalumu kuombe janga la Corona.
View attachment 1434414
![]()
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Mchungaji huyo ameamua kwenda kukaa milimani akiomba huku akidai kwamba hatashuka wala hata kula chochote mpaka pale janga hili la Corona litakapoondoka. “SITAKULA CHOCHOTE MPAKA PALE ADUI ATAKAPOONDOKA”
Bora Joshua kuliko Yohana, kaacha Vita, kajificha Chato anakula Sato
Hapo kwenye kula ndio nnapopasubiria. Count down inaanza lini mleta uzi?Mchungaji maarufu duniani anayetokea katika taifa la Nigeria TEMITOPE BALOGUN JOSHUA alimaarufu kama TB JOSHUA ameamua kufunga na kupanda milimani kwa ajili ya maombi maalumu kuombe janga la Corona.
View attachment 1434414
![]()
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Mchungaji huyo ameamua kwenda kukaa milimani akiomba huku akidai kwamba hatashuka wala hata kula chochote mpaka pale janga hili la Corona litakapoondoka. “SITAKULA CHOCHOTE MPAKA PALE ADUI ATAKAPOONDOKA”
Kama nawaona wajuba wa GhanaMchungaji maarufu duniani anayetokea katika taifa la Nigeria TEMITOPE BALOGUN JOSHUA alimaarufu kama TB JOSHUA ameamua kufunga na kupanda milimani kwa ajili ya maombi maalumu kuombe janga la Corona.
View attachment 1434414
![]()
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Mchungaji huyo ameamua kwenda kukaa milimani akiomba huku akidai kwamba hatashuka wala hata kula chochote mpaka pale janga hili la Corona litakapoondoka. “SITAKULA CHOCHOTE MPAKA PALE ADUI ATAKAPOONDOKA”