NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
kwa nini amuamini mtu anaweza kaa zaidi ya siku 20 bila kula chochote na asife?.
basi mnatakiwa kuamini inawezekana na ishawai tokea mara kadhaa,
viongozi wa dini wanatakiwa waumizwe na corona kama huyu tb joshua,corona ina kuuma mpaka unaamua kujitenga kufanya maombi mwanzo mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
basi mnatakiwa kuamini inawezekana na ishawai tokea mara kadhaa,
viongozi wa dini wanatakiwa waumizwe na corona kama huyu tb joshua,corona ina kuuma mpaka unaamua kujitenga kufanya maombi mwanzo mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app