TB Joshua “Ntaomba nikiwa milimani sitakula hadi adui yetu Corona aondoke”

Mathayo 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁷ Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;
¹⁸ ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa manabii feki ndio wanaangamiza waamini wao.
 
Ngoja tuone, ila asije akamuua kwa njaa mpiga picha maana yy kazi yake anaifanya ipasavyo
 
Mungu na ambariki na kupitia yeye afanye kitu kwa hii Dunia, najua tuna nafas kila mtu tofaut ya namna ya kuwasiliana na Mungu, asikilize saut ya Mungu itakayoiponya nchi, nasi kupitoa saut hiyo tutapona...AMINA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…