Mikono yenye Sugu
Senior Member
- Jul 1, 2020
- 133
- 215
Ni kati ya TV lemavu barani Afrika kama sio kwa dunia nzima.ndio maana ni kongwe lakini halikui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kati ya TV lemavu barani Afrika kama sio kwa dunia nzima.ndio maana ni kongwe lakini halikui
Kawaida ya madikteta duniani kote na kujigeuza centre of the universe,kila mkereketwa na waimba mapambio wanategemea au kusubiri uteuzi wa Mzee Baba kila mara atumbuliwapo moja wao.Hii ni aibu kwa watu waelewa wakijitoa ufahamu kwa ajili ya njaa zao bila kujali maslahi ya nchi na watu wake.Kila mtu pale TBC anawaza ureuzi tu. Wapumbavu kabisa
Na wewe umezidi umbea mwanangu, kilichokifanya ukachungulie huko ni nini?Nimesikitishwa na kitendo cha TBC1 kutumika kumfanyia kampeni mgombea Urais wa CCM.
Kumekuwa na vipindi kadhaa vya kumpigia kampeni Mgombea Urais wa CCM lakini kitendo cha kuweka vipindi kadhaa wakati huo huo kukiwa na background ya wimbo wa Zuku akiimba wapinzani wanyong'onyee ni kuwakosea Watanzania adabu.
Ni kuwakosea Watanzania adabu kwa sababu pesa ya kuendesha TBC ambacho ni chombo cha umma inatolewa na Watanzania wa vyama vyote ambao hawamuungi mkono huyo Mgombea wa CCM.
chauma mkutano wa manzese ulioneshwa liveMbona ya vyama vingine tofauti na waliowafukuza hawatangazi.? Chauma, CUf, UDP, ACT hawafanyi mikutano? Don't be lunatic with little analysis capacity binti.
sababu walionesha uhalisia watu hawakuja kwenye mkutano wa lisuUnaijua sababu iliyofanya wafukuzwe?
chauma inaoneshwa mkuu sema hufatiliiV
Vipi mikutano ya vyama vingine kama DEMOKRASIA MAKINI,CHAUMA,ACT WAZALENDO NK mbona pia hawaoneshwi
Act, CUF .. nao waliwafukuza?Lakini waliwai kurusha matangazo ya chadema mkawafukuza kwenye mkutano wenu pale zakiem mbagala mkuu so acha wafanyekazi na wanaotaka kutangaziwa mikutano yao
WaNigeria wamefanya poa sanaNigeria Broadcasting Cooperation wananchi wamekiwasha moto kwa UPUMBAVU kama wa TBC. Kituo cha utangazaji ambacho ni mali ya umma kimekuwa 'choo' cha CCM ambacho wanaweza kuingia na kutoka kadri wapendavyo.
TBC asilani hawawezi kuonyesha Ukweli kama WEYANI TV
tukutane ijumaa ijayo wakati tukiwa tunapokea matakeo kutoka kila kona ya Tanzania huku tunakula bia bariidi tukimfundisha lisu siasa Haha ha ha ha lisu will learn the hard wayFistula imehamia kichwani?
Mkiiba kura mtakiona cha mtema kunditukutane ijumaa ijayo wakati tukiwa tunapokea matakeo kutoka kila kona ya Tanzania huku tunakula bia bariidi tukimfundisha lisu siasa Haha ha ha ha lisu will learn the hard way
Unaongelea Watanzania wepi? JPM ndiye rais wewe ulitakaje? Mbona nyie mmejipambanua na Mabebebru?Nimesikitishwa na kitendo cha TBC1 kutumika kumfanyia kampeni mgombea Urais wa CCM.
Kumekuwa na vipindi kadhaa vya kumpigia kampeni Mgombea Urais wa CCM lakini kitendo cha kuweka vipindi kadhaa wakati huo huo kukiwa na background ya wimbo wa Zuku akiimba wapinzani wanyong'onyee ni kuwakosea Watanzania adabu.
Ni kuwakosea Watanzania adabu kwa sababu pesa ya kuendesha TBC ambacho ni chombo cha umma inatolewa na Watanzania wa vyama vyote ambao hawamuungi mkono huyo Mgombea wa CCM.
Wanakusubiri kwa hamu!Soon tutawafanya kama Wanigeria walivyoifanya television ya aina hii! Dawa yao ni kiberiti tu