Uchaguzi 2020 TBC kurusha live uzinduzi kampeni za CHADEMA leo Zakhiem

Status
Not open for further replies.
Yaani utafikiri yamelazimishwa kuonyesha wagombea wakiingolea magufuli na tume ya uchaguzi watangazaji wanaanza kuongea hawataki wananchi wasikie mapungufu ya ccm pumbavu kabisa
Kwa Nini CHAdema wamewachagua Hawa ...naaona wamemkata Tena Lema
 
Leo Hawa Watangazaji TBC Wamepewa Mtihani Mzitto.

Siku ya Leo hawataisahau Maishanii Mwao.!


Watahangaika sana leo hapo Studio..

Namuonea huruma huyu Binti Mrembo Mwenye Uso Mbonde Kama rihanna..

Watahangaika sana kufanya uchambuzi Uchwara leo
Wanakata Sana!

Sent using Jamii Forums mobile app

Nchi inaendeshwa Kama Gettho-Lema.
 
TBC ni hovyo kwa Nini mgombea wa Ilala aliposema Magufuli hajaongeza mishahara kwa miaka mitano wakakata matangazo na kuingiza sauti za Watangazaji!
Kwa kweli ni Bora TBC wangeacha tu kurusha live Mana naona watangazaji wa TBC ndio wanaongea Muda mwingi badala ya kuacha tuskie wanahusika wanachoongea kwenye kampeni.

Sijajua kwann CDM waliiamini TBC kurusha Mkutano huu muhimu. Hapa wanachofanya TBC ni hujuma tu na si kingine.
 
Walipoona Mbowe anakwenda kuweka msimamo juu ya huu umalaya wa NEC wanaweka nyimbo. Pumbavu sana TBC
 
Jiandae kuona hotuba za makamanda zikikatwakatwa hovyo.
Ndicho kinachofanyika. Badala ya kutuacha tusikilize hotuba zao wanaingilia na kuanza kutoa uchambuzi. Halafu camera hazituonyeshi umati wa wahudhuriaji na hakuna TV station nyingine yoyote inayorusha matangazo hayo.
 
Mbowe amewapa dakika 15 TBC waondoe mitambo yao Mara moja.
 
TBC wanazingua sana aisee.
Ndio nini hiki wanachoonyesha.
Bora tu wasingeonyesha
 
Mkeka wangu umetiki.
 
Hivi tbc ndio nini?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…