Uchaguzi 2020 TBC kurusha live uzinduzi kampeni za CHADEMA leo Zakhiem

Uchaguzi 2020 TBC kurusha live uzinduzi kampeni za CHADEMA leo Zakhiem

Status
Not open for further replies.
Nani aliwaomba kama siyo TBC na CCM wanajipendekeza kuonyesha wanacheza fair,mkiamua kuonyesha hatutaki mkate kate matangazo au kufanya censorship za kipumbavu ,btw hakuna aliyewaomba hata wasipoonyesha poa tu msijipendekeze
Imekuwaje mkaomba, au hujui hata unachoandika
 
TULIWAAMBIA MKIFUATA UTARATIBU MTAKUWA LIVE

Acheni kudekadeka mnaongoza kwa kudeka duniani. Sasa muongee point mnaongea katika television ya Taifa muonyeshe utaifa na uzalendo

Sasa MTAKUWA MUBASHARA mutumie airtime kuwaambia watanzania mambo ya maana sio kutafuta kiki mje na agenda kiki hazitusaidii sisi wapiga kura tunataka kusikia usalama na ulinzi wa nchi amani kwanza, tunataka kusikia Muungano wetu mnaudumisha, tunataka kusikia Mnakubali kuwa CCM awamu hii imefanya mambo makubwa sana nchini ya kuenziwa na DR. JOHN POMBE Magufuli mtaongoza mijadala ya kumuongezea muda kwa jinsi ameweza kuwa Nyerere wa sasa??

Kumbukeni wakati tuna asisi vyama vya Upinzani nchini mwaka 1992 lengo kubwa lilikuwa ni kupata mawazo mbadala sio kukimbilia Ikulu. Ikulu ni mahali patakatifu ndio maana kuna wameenda tukatamani muda ukatike na kuna wameenda hasa Dr. John Pombe Magufuli watanzania mitano tena tunaona haitoshi tunahitaji aongezewe muda ili pia kama nchi tutulie na kujifunza siasa za makundi yaliokuwa yanataka Ikulu yetu halikuwa jambo jema na kuelimishana upya Ikulu sio mahali pakukimbilia.

Hivyo mubashara wa kuongea na dunia muiambie dunia tuko na Dr. John Pombe Magufuli kiboko cha mafisadi wa rasimali wa ndani na nje, Mwalimu wa nidhamu kwa watumishi wa umma, Mwanamapinduzi adimu na adhimu wa kuweza kutumia rasilimali za nchi kwa maendeleo ya Wananchi.

Muwape salamu tutapunguza utegemezi na kuwakaribisha Tanzania kununua Tanzanite na madini na muwaambie treni ya umeme soon itaanza kazi waje kupanda sio ziko kwao tu ila muwajuze sasa watanzania wanalipa kodi.

Waambie Ndoto kubwa mwananchi wa kawaida anzia Jana na Leo amekosa ticket ubungo hata za Mabasi ya Champion na Kamwana kwenda Dodoma ufunguzi wa Kampeni za Rais wa Tanzania Mhe. Dr. John Pombe Magufuli.

Haijapata tokea kwenda kwa ajili ya kufungua kampeni za Mhe Rais usafiri ukakosekana.

Waambie hata ninyi sasa mnakaaa na kunyosha mikono mikono sasa mnafanya siasa za mawazo mbadala sio za Ikulu ni mahali patakatifu na maisha ni kazi haiwezekani kuwa ni kuwaza kwenda Ikulu Ikulu.

Na,
Mwl. Cleopa E. Soi

Ndoto Kubwa

nawaza kwa sauti, sijui mawasiliano yatakuwa mazuri.. au saut zitakuwa zinakatika mara kwa mara... maana huwez jua mambo ya mawasiliano.. unaweza ukashangaa mara sauti inakuja mara inapotea.. yaani kama vile mtu anamute mnaona picha tu... dah teknolojia bana 🙂🙂🙂😀😀
 
Au labda wakuu wameishiwa bundle za kuwa wanaingia Whatsapp kuwafiatilia

Badala ya kununua jogoo mitaani kwa laki moja, sasa anunue bando la WhatsApp kumchungulia Mhe. Lissu, mrithi wake Oktoba 2020.
 
TULIWAAMBIA MKIFUATA UTARATIBU MTAKUWA LIVE

Acheni kudekadeka mnaongoza kwa kudeka duniani. Sasa muongee point mnaongea katika television ya Taifa muonyeshe utaifa na uzalendo

Sasa MTAKUWA MUBASHARA mutumie airtime kuwaambia watanzania mambo ya maana sio kutafuta kiki mje na agenda kiki hazitusaidii sisi wapiga kura tunataka kusikia usalama na ulinzi wa nchi amani kwanza, tunataka kusikia Muungano wetu mnaudumisha, tunataka kusikia Mnakubali kuwa CCM awamu hii imefanya mambo makubwa sana nchini ya kuenziwa na DR. JOHN POMBE Magufuli mtaongoza mijadala ya kumuongezea muda kwa jinsi ameweza kuwa Nyerere wa sasa??

Kumbukeni wakati tuna asisi vyama vya Upinzani nchini mwaka 1992 lengo kubwa lilikuwa ni kupata mawazo mbadala sio kukimbilia Ikulu. Ikulu ni mahali patakatifu ndio maana kuna wameenda tukatamani muda ukatike na kuna wameenda hasa Dr. John Pombe Magufuli watanzania mitano tena tunaona haitoshi tunahitaji aongezewe muda ili pia kama nchi tutulie na kujifunza siasa za makundi yaliokuwa yanataka Ikulu yetu halikuwa jambo jema na kuelimishana upya Ikulu sio mahali pakukimbilia.

Hivyo mubashara wa kuongea na dunia muiambie dunia tuko na Dr. John Pombe Magufuli kiboko cha mafisadi wa rasimali wa ndani na nje, Mwalimu wa nidhamu kwa watumishi wa umma, Mwanamapinduzi adimu na adhimu wa kuweza kutumia rasilimali za nchi kwa maendeleo ya Wananchi.

Muwape salamu tutapunguza utegemezi na kuwakaribisha Tanzania kununua Tanzanite na madini na muwaambie treni ya umeme soon itaanza kazi waje kupanda sio ziko kwao tu ila muwajuze sasa watanzania wanalipa kodi.

Waambie Ndoto kubwa mwananchi wa kawaida anzia Jana na Leo amekosa ticket ubungo hata za Mabasi ya Champion na Kamwana kwenda Dodoma ufunguzi wa Kampeni za Rais wa Tanzania Mhe. Dr. John Pombe Magufuli.

Haijapata tokea kwenda kwa ajili ya kufungua kampeni za Mhe Rais usafiri ukakosekana.

Waambie hata ninyi sasa mnakaaa na kunyosha mikono mikono sasa mnafanya siasa za mawazo mbadala sio za Ikulu ni mahali patakatifu na maisha ni kazi haiwezekani kuwa ni kuwaza kwenda Ikulu Ikulu.

Na,
Mwl. Cleopa E. Soi

Ndoto Kubwa
Kilicho nishangaza mimi wagombea wote wa ccm madiwani na wabunge wakiwa na wapange wao yaan vijana wa uhamasishaji wamekodishiwa magari na wameahidiwa kulala na kunywa kwa gharama za ccm. Leo waende Dom kwenye uzinduzi wa kampeni.

Sasa najiuliza hivi Ile bil12 iliyoambiwa isizidishwe wakati wa kampeni ndio inatosha kufanya haya yote...
Ngoja tuone
 
Chama kilicho katika hali mbaya kinategemea dola badala ya kura za wananchi
CCM kilipofika ni pabaya katika historia yake na Tanzania
 
Acheni kudekadeka mnaongoza kwa kudeka duniani. Sasa muongee point mnaongea katika television ya Taifa muonyeshe utaifa na uzalendo
Tunamdekea mamako. Pambavu, leo Baba yako tunamsiriba mwanzo mwisho mpaka mkate atangaze punda nyie!
 
TULIWAAMBIA MKIFUATA UTARATIBU MTAKUWA LIVE

Acheni kudekadeka mnaongoza kwa kudeka duniani. Sasa muongee point mnaongea katika television ya Taifa muonyeshe utaifa na uzalendo

Sasa MTAKUWA MUBASHARA mutumie airtime kuwaambia watanzania mambo ya maana sio kutafuta kiki mje na agenda kiki hazitusaidii sisi wapiga kura tunataka kusikia usalama na ulinzi wa nchi amani kwanza, tunataka kusikia Muungano wetu mnaudumisha, tunataka kusikia Mnakubali kuwa CCM awamu hii imefanya mambo makubwa sana nchini ya kuenziwa na DR. JOHN POMBE Magufuli mtaongoza mijadala ya kumuongezea muda kwa jinsi ameweza kuwa Nyerere wa sasa??

Kumbukeni wakati tuna asisi vyama vya Upinzani nchini mwaka 1992 lengo kubwa lilikuwa ni kupata mawazo mbadala sio kukimbilia Ikulu. Ikulu ni mahali patakatifu ndio maana kuna wameenda tukatamani muda ukatike na kuna wameenda hasa Dr. John Pombe Magufuli watanzania mitano tena tunaona haitoshi tunahitaji aongezewe muda ili pia kama nchi tutulie na kujifunza siasa za makundi yaliokuwa yanataka Ikulu yetu halikuwa jambo jema na kuelimishana upya Ikulu sio mahali pakukimbilia.

Hivyo mubashara wa kuongea na dunia muiambie dunia tuko na Dr. John Pombe Magufuli kiboko cha mafisadi wa rasimali wa ndani na nje, Mwalimu wa nidhamu kwa watumishi wa umma, Mwanamapinduzi adimu na adhimu wa kuweza kutumia rasilimali za nchi kwa maendeleo ya Wananchi.

Muwape salamu tutapunguza utegemezi na kuwakaribisha Tanzania kununua Tanzanite na madini na muwaambie treni ya umeme soon itaanza kazi waje kupanda sio ziko kwao tu ila muwajuze sasa watanzania wanalipa kodi.

Waambie Ndoto kubwa mwananchi wa kawaida anzia Jana na Leo amekosa ticket ubungo hata za Mabasi ya Champion na Kamwana kwenda Dodoma ufunguzi wa Kampeni za Rais wa Tanzania Mhe. Dr. John Pombe Magufuli.

Haijapata tokea kwenda kwa ajili ya kufungua kampeni za Mhe Rais usafiri ukakosekana.

Waambie hata ninyi sasa mnakaaa na kunyosha mikono mikono sasa mnafanya siasa za mawazo mbadala sio za Ikulu ni mahali patakatifu na maisha ni kazi haiwezekani kuwa ni kuwaza kwenda Ikulu Ikulu.

Na,
Mwl. Cleopa E. Soi

Ndoto Kubwa
Leo ni ngeo tupu hadi TBC wazime mitambo.
 
Kama kawaida yao chadema siku zote Hua hawatumii akil zao hata kufikiria ila mihemko na ujinga ndio huweka mbele

Napenda niwapongeze viongoz wa Tbc kwa kutaka kuwaonyesha watanzania Nini Tundulisu na chadema wanataka kwenye hii nchi kwa kutumia mkutano wao wa Leo chadema wataongea kila kitu Kwan Mgombea wao Hana stara ila mihemko tu


Tbc wameamua kuweka wazi ili watanzania tuone wale walio kua Wana taka tufumgiwe ndan Leo Wana taka tukusanyike ili tukawape faida wao kwenye kampeni zao
 
Mfano kusema serikali ndio ilimpiga risasi bila ushahidi wa mahakama au kusema tume wezi wa kura bila ushahidi wa mahakama au kusema CCM huwa wanaiba kura bila ushahidi wowote wa kesi ya wizi iliyowahi thibitishwa na mahakama yenye kutamka wazi kuwa CCM wezi wa kura au kutamka kuwa Magufuli hapendwi Wakati CCM kwenye uteuzi alipata kura asilimia 100 nk kifupi kusema hovyo Ni kuongea vitu visivyo na ushahidi wa kisheria kimahakama vya kushambulia wengine hapo usitarajie mtangazaji akuache Live lazima akuzimie maiki
Huoni ni vyema muongea ovyo akapelekwa mahakamanj ili sheria ifuate mkondo wake??
 
Yaani mimi naona bora wasipoteze muda wao kwa sababu binafsi huwa siangalii tbc kwai mbali n kujihook na ccm lakini pia quality y picha ni mbovu, na ni kweli kwamba wanaweza kurusha picha isio na sauti
 
Wakithubutu yale yalofanywa na bashite klauz TV kuivamia akiwa na A.K 47 kipindi hiki atakuja nyangogo akiwa na rocket ranger tena yeye mwenyewe huku akimwaga ung'eng'e wa gambosi " Bhebhesi nang'ho nawawilaga ndoho kutangaja i kampeni ya wangi than that of unene ntale mbumbazu
Niko njiani nakuja
 
TBC ni hovyo kwa Nini mgombea wa Ilala aliposema Magufuli hajaongeza mishahara kwa miaka mitano wakakata matangazo na kuingiza sauti za Watangazaji!
 
Kwa Nini CHAdema wamewachagua Hawa ...naaona wamemkata Tena Lema
 
Aisee Chadema wakadai chao hapo TBC mana sio kwa censorship inayofanyika, Lema nao wame mute
 
Leo TBC Watangazaji Kazi Mnayo..

Ni Mwendo Wakukata tu na kuondoa Sauti...


Kisha Mnaweka Uchambuzi Wenu duni.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom