Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona wanavyodhihirisha upumbavu wao? Natamani siku ccm ikifa wafukuzwe kazi wote, waajiriwe watu wenye weledi sio hawa wachumia tumbo.
tbc vaen sura ya kitaifa na sio ya kishabik kama ulimwona mtanganzaj alikua anajishukia hiv anajua anachokifanya c sahih
Hivi we we unayeangalia tbccm una uzalendo na afya yako?!!!!
CHADEMA acheni ujinga kwani hata sisi 2nataka katiba mpya ila 2napambana na upinzani,ili kuharakisha mapinduzieeeh mungu baba akusamehe unanikumbusha machungu kwa kaka yangu mwangosi
machadema acheni ujinga kwani hata sisi 2nataka katiba mpya ila 2napambana na upinzani,ili kuharakisha mapinduzi
tbc vaen sura ya kitaifa na sio ya kishabik kama ulimwona mtanganzaj alikua anajishukia hiv anajua anachokifanya c sahih
Vp ile biashara yko ya viungo vya albino umeacha au umepumzika kwa muda..Ccm oye kidumu chama,nyingi mamburula wa chadema mtakufa kama kuku au kama mwangosi ccm hatupo tayari kuacha mbwa watawale nchi yetu
mkuu kwanza karibu jf, pili that is crossing the line. angalia lugha yako tuko hapa kuelimishana na siyo kutukanana
Yaani baada ya habari ya ITV kwa mkutano jangwani nikarudi tbccm, nimekereka wamekazania habari za watumwa wa CCM vyuoni eti wanampa baraka Mr dhaifu aendelee na kusaini katiba na habari ya kinana. Ya jangwani imewekwa mwisho