TBC kwao habari ni ya wahuni wa vyuo kumwambia JK aendelee na katiba

TBC kwao habari ni ya wahuni wa vyuo kumwambia JK aendelee na katiba

Umeona wanavyodhihirisha upumbavu wao? Natamani siku ccm ikifa wafukuzwe kazi wote, waajiriwe watu wenye weledi sio hawa wachumia tumbo.

Huwa siangalii TBC1
 
Hivi we we unayeangalia tbccm una uzalendo na afya yako?!!!!
 
Nimeshangaa sana hawa vijana .Kuna mtu kaacha hoja ana hoji CUF na CHADEMA na kwa nini si vyama vyote .Nadhani hata hawakuona mambo ya Jangwani kwamba hata mburura Dovutwa alikuwepo na Makaidi .
 
TBC vaen sura ya kitaifa na sio ya kishabik kama ulimwona mtanganzaj alikua anajishukia hiv anajua anachokifanya c sahih
 
hao jamaa wa CCM wanataka wapate umaarufu kupitia migongo ya watu.
 
ha ha ha (eti wana vyuoni hi c hatari jamani) wale si wanafunzi wa college kama igo, datastar, mcmillian.....
 
tbc vaen sura ya kitaifa na sio ya kishabik kama ulimwona mtanganzaj alikua anajishukia hiv anajua anachokifanya c sahih

Wewe utakuwa ni mkimbizi au muhamiaji haramu kwani ulichokiandika sijakielewa kabisa.
 
Yale mambulala ya unga huko vyouni nayo yanamshauri rais. Mateja tupu..
 
VYUO vikuu gani wenye nguo za CCM makanjanja tu yamepewa book saba na ridhiwani na January makamba period matoto yako kama mazezeta hata kueleza haonyeshi yanaeleza nini ha ha ha CCM wenzao wanaenda vyo vikuu wenyewe na watoto wa book saba
 
Ccm oye kidumu chama,nyingi mamburula wa chadema mtakufa kama kuku au kama mwangosi ccm hatupo tayari kuacha mbwa watawale nchi yetu
Vp ile biashara yko ya viungo vya albino umeacha au umepumzika kwa muda..
 
mkuu kwanza karibu jf, pili that is crossing the line. angalia lugha yako tuko hapa kuelimishana na siyo kutukanana

nenda kamrekebishe Tundu Lisu kwanza. kama Tundu kafanya vile jangwani je Sugu atafanyaje.
 
Yaani baada ya habari ya ITV kwa mkutano jangwani nikarudi tbccm, nimekereka wamekazania habari za watumwa wa CCM vyuoni eti wanampa baraka Mr dhaifu aendelee na kusaini katiba na habari ya kinana. Ya jangwani imewekwa mwisho

Wahuni hawa TBC kodi zetu wanaonesha ujinga wa hawa jamaa afu Kaniudhi sana yule wa mwisho kuhojiwa anaonekana kuwa mzee lakini eti anasea hawa miaka 10 hawatokuwepo ili hali ni mzee kabisa mawazo ya kijinga sana.
 
Back
Top Bottom