TBC kwao habari ni ya wahuni wa vyuo kumwambia JK aendelee na katiba

TBC kwao habari ni ya wahuni wa vyuo kumwambia JK aendelee na katiba

Tbcccm wote takataka halafu wana ongea na punguani wa kununua vyeti vya degree kama wakina -------- nchimbi, wakubwa acheni hii tbc iwe ya wazaramo na nchemba maana kila ktu ni pumba tu, nimewapiga stop wanangu kungalia tangu tido mhando walipo mfukuza,
shame upon ccm na tbc yao ya udaku.
 
Yaani baada ya habari ya ITV kwa mkutano jangwani nikarudi tbccm, nimekereka wamekazania habari za watumwa wa CCM vyuoni eti wanampa baraka Mr dhaifu aendelee na kusaini katiba na habari ya kinana. Ya jangwani imewekwa mwisho

tuwe wavumilivu(the concept of tolerance)
 
ha ha ha (eti wana vyuoni hi c hatari jamani) wale si wanafunzi wa college kama igo, datastar, mcmillian.....
ZENDA NI GRADUATE UDOM , shule yake ni full ku- unga unga, sup kila semester, alikuwa kibaraka wa ccm, amefanya watu wengi sana wafukuzwe chuo hasa wafuasi wa chadema, baada ya maandamano pale udom, ni mnafiki, kazi kubwa nyingine aliyokuwa anafanya ni kutafutia WABUNGE HASA WA CCM wanawake pale udom, in SHORT ALIKUWA KUWADI, MSHENZI SANA, ANA sifa za kipumbavu
 
Nawapongeza wasomi pamoa na tbc. Hakuna habari ya maana niliyoiona jangwani zaidi ya matusi ya kina lissu na kauli za kichochezi za kina lipumba eti vijana waanze mazoezi... Mnaibiwa mchana kweupe
 
acha kujifariji,mliuchezea wakati na sasa mnatapatapa tu,tbccm ni majanga,haina jipya zaidi ya ushabiki wa kishamba.mimi hata sikumbuki ni lini niliitazama.ukitaka kuamini tembelea mikusanyiko ya watu aidha katika baa ama hotel mida ya saa 2 majibu utayapata

sasa bar saa mbili si watu wamelewa chadema bwana kumbe huwa mnafarijiwa na walevi hahahahah
 
Jizee La miaka 50 linaelezea TBC Kuwa wanaokataa muswada wanaondoka na watatuacha vijana wasiwaunge mkono .Huu ni uzuzu mnaojiita vijana wa ccm vyuo vikuu.Halijui laweza kufa likawaacha viongozi wakuu wa vyama vya upinzani.
 
Hivi hiki chombo cha habari cha TBC ,si ni cha serikali ambayo kila mtanzania mwana-CCM na mpinzani wote wanalipia kodi ya kukiendesha?Sasa iweje kinaendeshwa kwa ubaguzi kiasi hiki kwa kutoa upendeleo wa wazi kwa CCM?

Halafu ninashangazwa na watu wanaowaasa watanzania WAWE MAKINI na wanasiasa wakati nao wamevaa minguo ya KIJANI wakiongea siasa!Kila ninapowaona wanatumia majukwaa ya kisiasa kuongea maneno hayo huwa ntamani niivunje TV yangu kwa hasira!

WAACHE UNAFIKI!
 
Siangalii taarifa ya TBC never ever bora nicheki muvi kuliko kutizama habari zao..
 
TBC Ukweli na uhakika ndo maana kuna TV nyingi unaangalia unayopenda wewe mbona unakuwa na lugha za kichochezi kijana tunataka taarifa za kuzungumza aman na kujenga aman si ujinga wowote tumezoea amam tanzania vijana nani kawaroga nyie msiopenda mazuri mliyoyakuta na yametengenezwa na CCM
 
Back
Top Bottom