TBC kwao habari ni ya wahuni wa vyuo kumwambia JK aendelee na katiba

TBC kwao habari ni ya wahuni wa vyuo kumwambia JK aendelee na katiba

Yaani baada ya habari ya ITV kwa mkutTano jangwani nikarudi tbccm, nimekereka wamekazania habari za watumwa wa CCM vyuoni eti wanampa baraka Mr dhaifu aendelee na kusaini katiba na habari ya kinana. Ya jangwani imewekwa mwisho

Wale vijana nlivyowaona tu wanaelekea kama vile wanasoma vyuo vya kata.

Nina hakika ni wahanga wakubwa wa Supp za vyuoni, pia kuna ushahidi kua hata Hivyo vyeo wamejipa tu.
 
Kidogo nitapike nadhani ni Kati ya mateja walioathirika na biashara za unga za vigogo wa ccm na wengine wabeba pembe za ndovu wa kinana.
 
Tbc sio ya ccm lakin inatumika na ccm,ccm ndo inavyochezea kodi za wananchi
 
Yaani baada ya habari ya ITV kwa mkutano jangwani nikarudi tbccm, nimekereka wamekazania habari za watumwa wa CCM vyuoni eti wanampa baraka Mr dhaifu aendelee na kusaini katiba na habari ya kinana. Ya jangwani imewekwa mwisho

hahahahaha,Magwanda aka chadomo mnavituko na usanii,hamuaminiki,,mlishatangaza kitoangalia TBC sasa ukawashwa na nini kutune TBC kumbe huwa mnatishia kuharisha wakati hata kujamba hamuwezi
 
Hahahahaha chadema wanakula matapishi Yao,wanaisafishia Cuf njia maana walisema kuwa Cuf sio wapinzani ni ccm b,sasa wanawaita makamanda hahaahahhhhahaha,chadema huwa wananipa burudani ya undumilakiwili
 
hahahahaha,Magwanda aka chadomo mnavituko na usanii,hamuaminiki,,mlishatangaza kitoangalia TBC sasa ukawashwa na nini kutune TBC kumbe huwa mnatishia kuharisha wakati hata kujamba hamuwezi
attachment.php
 
Kidogo nitapike nadhani ni Kati ya mateja walioathirika na biashara za unga za vigogo wa ccm na wengine wabeba pembe za ndovu wa kinana.

hahahaha mpaka raha mtajitaja wote mnaoendelea kuangalia TBC,kumbe mlikua mnatishia kunya wakati kujamba hamuwezi fuumbafuuu
 
Kwa bahati nzuri hapa nyumbani haipatikani nimeshukuru kweli

Hahaha,mwingine huyo,kumbe ingekuwepo lazima ungeangalia hahahahahahaha maana hadi unashukuru hahahahahaa,chadomo mnambwrmbwe,TBC Hoyeeeeeeeeeeeeee
 
Kidogo nitapike nadhani ni Kati ya mateja walioathirika na biashara za unga za vigogo wa ccm na wengine wabeba pembe za ndovu wa kinana.

Hahahahahahaha,sasa nimeamini vijana WA Bavicha wote hua hammaanishi msemalo,mana wote mlitoa ahadi ya kutoangalia TBC,ILA kila anayechamgia inaonesha ndicho kituo booooooooooora mnachokihisudu,mpaka mkaona vijana wakiwatolea uvivu,hahahaahaha
 
Hahahahahahaha,sasa nimeamini vijana WA Bavicha wote hua hammaanishi msemalo,mana wote mlitoa ahadi ya kutoangalia TBC,ILA kila anayechamgia inaonesha ndicho kituo booooooooooora mnachokihisudu,mpaka mkaona vijana wakiwatolea uvivu,hahahaahaha

Usipende kuwekea watu maneno km kawaida yenu ccm,nimeangalia Itv.
 
Naomba mtu anitajie kipindi cha maana tbc?? Wao wameona vijana wa ccm ndo ishu ya msingi kuliko madai ya kaiba!!!
 
Hahahahahahaha,sasa nimeamini vijana WA Bavicha wote hua hammaanishi msemalo,mana wote mlitoa ahadi ya kutoangalia TBC,ILA kila anayechamgia inaonesha ndicho kituo booooooooooora mnachokihisudu,mpaka mkaona vijana wakiwatolea uvivu,hahahaahaha

acha kujifariji,mliuchezea wakati na sasa mnatapatapa tu,tbccm ni majanga,haina jipya zaidi ya ushabiki wa kishamba.mimi hata sikumbuki ni lini niliitazama.ukitaka kuamini tembelea mikusanyiko ya watu aidha katika baa ama hotel mida ya saa 2 majibu utayapata
 
hahahahaha,Magwanda aka chadomo mnavituko na usanii,hamuaminiki,,mlishatangaza kitoangalia TBC sasa ukawashwa na nini kutune TBC kumbe huwa mnatishia kuharisha wakati hata kujamba hamuwezi

alitaka kujua kuna uharo gani tbccm
 
Na wewe nae, ulifata nini huko? Hicho sio chombo cha habari bali chombo cha hatari. Ukome kuyaangalia mamtu kwa ridhaa yao menyewe yameamua kutembea uchi tena barabarani.
 
Hahahahaha chadema wanakula matapishi Yao,wanaisafishia Cuf njia maana walisema kuwa Cuf sio wapinzani ni ccm b,sasa wanawaita makamanda hahaahahhhhahaha,chadema huwa wananipa burudani ya undumilakiwili

tulia dawa ikuingie,acha kutapatapa wewe
 
wachumia tumbo msiwashangae kwani bila kudanganya watz watafukuzwa CCM.Hiyo habari usishangae wala hawakuwa na nauli ya kuwafikisha huko Vyuoni bali wameletewa na MaCCM ili waitangaze.
 
Jk atasaini muswada kuwa sheria ili tuone hicho kinachosemwa.
 
Back
Top Bottom