TBC kwao habari ni ya wahuni wa vyuo kumwambia JK aendelee na katiba

TBC kwao habari ni ya wahuni wa vyuo kumwambia JK aendelee na katiba

TBCCCM ulifuata nini huko?
kuna JAMII FOURM,ITV,CHANEL TEN,STAR TV!
 
Wahuni hawa TBC kodi zetu wanaonesha ujinga wa hawa jamaa afu Kaniudhi sana yule wa mwisho kuhojiwa anaonekana kuwa mzee lakini eti anasea hawa miaka 10 hawatokuwepo ili hali ni mzee kabisa mawazo ya kijinga sana.

asante kwa kuangalia TBC. karibu tena TBC.
 
Wako sahihi jangwani hakikuwa na na jipya zaidi ya taarab nani asiyeijua bora hao vijana walioonyesha upeo wa kuona mbali
 
Invisible, mtu kama huyu pamoja na ugeni wake inabidi ale BAN.

jangwani:lissu amenisikitisha

ingia kwenye hii thread ukaone watu wanaotakiwa kupigwa hiyo BAN yako. watu wameporomoka sio mchezo.na mpaka sasa wanaendeleza.
 
Yaani baada ya habari ya ITV kwa mkutano jangwani nikarudi tbccm, nimekereka wamekazania habari za watumwa wa CCM vyuoni eti wanampa baraka Mr dhaifu aendelee na kusaini katiba na habari ya kinana. Ya jangwani imewekwa mwisho
Mkuu nadhani hunawazazi kama unao walishakulaani kama pia hujitambui kabisa endelea kutukana wakubwa jehanamu utaikuta tu.
 
Ccm oye kidumu chama,nyingi mamburula wa chadema mtakufa kama kuku au kama mwangosi ccm hatupo tayari kuacha mbwa watawale nchi yetu

Una laana si bure, mmemuua Mwangosi ili umkebehi?may he RIP yeye km binadamu mwingine hakupenda kufa kifo kichungu na cha ukatili vile, usamehewe maana hujui unalolitenda
 
Wewe nini kilikupeleka tbc kama siyo umbea kama huipendi kwa nini ulifungulia
 
Yaani baada ya habari ya ITV kwa mkutano jangwani nikarudi tbccm, nimekereka wamekazania habari za watumwa wa CCM vyuoni eti wanampa baraka Mr dhaifu aendelee na kusaini katiba na habari ya kinana. Ya jangwani imewekwa mwisho

NImefuatilia na kushangaa, ni kama hakukuwa na tukio kubwa jijini Dar. Kaaazi kwelikweli.
 
Yaani baada ya habari ya ITV kwa mkutano jangwani nikarudi tbccm, nimekereka wamekazania habari za watumwa wa CCM vyuoni eti wanampa baraka Mr dhaifu aendelee na kusaini katiba na habari ya kinana. Ya jangwani imewekwa mwisho

Kama ya jangwani wameiweka mwisho basi wametonywa au wamejisikia aibu wakaamua waiweke hivyo hivyo....!
 
Taarifa ya habari TBC ni matukio ya viongozi wa ccm na serikali yaan inaboa kuangalia
 
Wako sahihi jangwani hakikuwa na na jipya zaidi ya taarab nani asiyeijua bora hao vijana walioonyesha upeo wa kuona mbali
Ha ha ha munakamuliwa mchana kweupe mutalijua jiji mwenyekiti wenu anatalii kwenda kupokea vikaratasi ili auze mapande ya ardhi
 
Nimewaona kwenye ITV hadi nikacheka, wenyewe tu wanavyoongea hawajiamini,dhamira zao zinawasuta, mmoja wao anasema imekuwaje wameungana wakati mmoja alikuwa CCM b, njaa ama kweli ni mbaya sana.
 
Kwa bahati nzuri hapa nyumbani haipatikani nimeshukuru kweli
 
Back
Top Bottom