kibaya-kenya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 649
- 165
Yaani baada ya habari ya ITV kwa mkutano jangwani nikarudi tbccm, nimekereka wamekazania habari za watumwa wa CCM vyuoni eti wanampa baraka Mr dhaifu aendelee na kusaini katiba na habari ya kinana. Ya jangwani imewekwa mwisho
ZENDA NI GRADUATE UDOM , shule yake ni full ku- unga unga, sup kila semester, alikuwa kibaraka wa ccm, amefanya watu wengi sana wafukuzwe chuo hasa wafuasi wa chadema, baada ya maandamano pale udom, ni mnafiki, kazi kubwa nyingine aliyokuwa anafanya ni kutafutia WABUNGE HASA WA CCM wanawake pale udom, in SHORT ALIKUWA KUWADI, MSHENZI SANA, ANA sifa za kipumbavuha ha ha (eti wana vyuoni hi c hatari jamani) wale si wanafunzi wa college kama igo, datastar, mcmillian.....
acha kujifariji,mliuchezea wakati na sasa mnatapatapa tu,tbccm ni majanga,haina jipya zaidi ya ushabiki wa kishamba.mimi hata sikumbuki ni lini niliitazama.ukitaka kuamini tembelea mikusanyiko ya watu aidha katika baa ama hotel mida ya saa 2 majibu utayapata