Mkuu huyo akili hana huwezi ukawa kasuku kwa sababu ilisemwa hivyo na wewe unarudia bila kujali kwamba kuna makosa yalifanyikaUlijiridhisha kwa upande wa pili wa aliotaja mtangazaji kuwa walisema zitaenda hizo nchi?
Inawezekana ana report kilichosemwa tu ambapo hapo anakuwa si mbumbumbu ikizingatiwa kataja kabisa nani aliesema hizo habari.
Atakuwa mbumbumbu kama huyo alietajwa hakusema hayo maneno.
Ila baada ya yote haibadilishi ukweli kuwa TBC ni ovyo kabisa.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app