uko sawa kabisaaaaNa nyie msiokuwa na dini mkipeleka vipindi vyenu wanapokea.
stupidKwani umelazimishwa kuangalia mkuu?
Sawa sisterstupid
π πππ€£ππ€£Umekandia Vibaya Yaani Umewaziba Midomoπwaache waje wanangu wa "serikali haina dini Ila watu wake Wana dini"
Mwanangu wewe ndo umekurupuka maana Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) yenye uanachama wa madhehebu ya kiprotestanti isipokuwa wasabato na walokole huwa wanatoa mawaidha yao wakiratibiwa na Mratibu wa habari wa CCT mchungaji John Kamoyo...Umesoma andiko vizuri au umekurupuka tu ?
πsi ndo wanavyosemaπ πππ€£ππ€£Umekandia Vibaya Yaani Umewaziba Midomo