kesho utasema na wasanii wanapaswa kutumia platform zao, keshokutwa utasema walemavu na wenye mahitaji maalumu watumie platform zao pia, kwasabb hii ni Tv ya Taifa....
Hutaishia hapo bado utasema wavuvi, wafugaji na wakulima wasaitumie TV ya taifa kutangaza mipango yao ya kilimo watumie platform zao kufanya mambo yao....
Ukiona wasanii na kazi zao utasema hao nao watafute platform yao hii ni Tv ya Taifa.
Hutaishia hapo utakuja kusema tena wanasiasa wasitumia Tv ya Taifa watumie platform zao huko mtaani....
Baadae utasema watu weusi na weupe kila moja atafute platform zao maana hii ni Tv ya Taifa.....
Ubaguzi hautaishia hapo ntaendelea baada ya muda kidogo...