Kipapatiro
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 1,129
- 1,497
kaka hii ni hatari sana kakaVilibakia vyama viwili uteuzi uishe mara SIONI nasikia bongo fleva TBC 1.
I see thisIla nyie semeni tu huyu jamaa anaogopeka sana coz anataka yafanyike anayoyataka yeye tu nchi imekuwa kama familia yake
Ngoja tusikilizie.Lisu lazima apite
Sielewi hapa kinachoendelea, nasubiri mchakato wa kuwatea wagombea wawili wa kiti cha Urais ukamilike mara naona mauzauza. Lengo ni nini, au mnadhani akikatwa kimyakimya Wananchi hawatajua kuwa hila imetumika?
Kuna channel wanarusha live sasa ili nicheki?
Mnaitukanaga sana sasa leo angalieni BBC zenu na DWTBC inatia kichefuchefu...