Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,823
- 3,831
Wanafikiri kutomuonyesha Lissu itampunguzia heshima yake mbele ya jamii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tutatazama wapi kama TV zote hawarushi?.Si mnasemaga hamuwajawahi kuaangalia TBC leo mkueje? Wala hamtakaa muangalie kumbe miongo tu, leo kiko wapi. Waambueni Chadema media wajiunge
Si huu wa akina Justine Beiber[emoji23][emoji23][emoji23] bwana Ali muziki wa kihuni ndio upi
Kumbe ni uoga wa maiti tu.kaka hii ni hatari sana kaka
Sauti kutoka juu zima tv asionekane lissu, siasa za kishamba sana hizi, nilipoona tu utaratbu wa ratiba umekiukwa nikahisi hiliVilibakia vyama viwili uteuzi uishe mara SIONI nasikia bongo fleva TBC 1.
Walisema Chadema imekufa sasa wanaogopa maiti.Sauti kutoka juu zima tv asionekane lissu, siasa za kishamba sana hizi, nilipoona tu utaratbu wa ratiba umekiukwa nikahisi hili
Duh..Baba muda huu yupo nyumbani kapumzika, anata kuangalia nyimbo za bongo fleva na "remote" ya luninga anayo mkononi.
Hamna wacha jazba mekuNg'ombe kabisa hawa tbc
panda mezani kata mauno tuangalie huo msabwanda wakoMnaitukanaga sana sasa leo angalieni BBC zenu na DW
Sielewi hapa kinachoendelea, nasubiri mchakato wa kuwatea wagombea wawili wa kiti cha Urais ukamilike mara naona mauzauza. Lengo ni nini, au mnadhani akikatwa kimyakimya Wananchi hawatajua kuwa hila imetumika?
Kuna channel wanarusha live sasa ili nicheki?