TBC wanatufanyia uhuni wa waziwazi walipakodi wa Nchi hii

TBC wanatufanyia uhuni wa waziwazi walipakodi wa Nchi hii

TBC Mungu anawaona na kwakweli hamtutendei haki kabisa. Mmeonyesha live wagombea wote 35 wa vyama vingine, imefika zamu ya CDM mmejitoa na kuleta kipindi cha ZINAZOKIKI....You guys what you are doing is very unfair.

Hii ndio sababu wananchi wameamua kuwaweka kando.....
Kwan Facebook na Citizen tv havipo live?
 
TBC Mungu anawaona na kwakweli hamtutendei haki kabisa. Mmeonyesha live wagombea wote 35 wa vyama vingine, imefika zamu ya CHADEMA mmejitoa na kuleta kipindi cha ZINAZOKIKI. You guys what you are doing is very unfair.

Hii ndio sababu wananchi wameamua kuwaweka kando.
Wanalipwa mishahara kwa pesa za walipa kodi wote lakini wanaifanyia kazi CCM ni matumizi mabaya ya pesa umma
 
Sielewi hapa kinachoendelea, nasubiri mchakato wa kuwatea wagombea wawili wa kiti cha Urais ukamilike mara naona mauzauza. Lengo ni nini, au mnadhani akikatwa kimyakimya Wananchi hawatajua kuwa hila imetumika?
Kuna channel wanarusha live sasa ili nicheki?
Unacho takiwa kufanya ni kufuta kwemye akili yako kwamba kuna mdudu anaitwa Tbc. Hapo utakuwa na amani ya roho.. Mimi hata ukiniuliza tbc ni nini sikumbuki tena.
 
Kumbe mnaangalia tbc nakumbuka mlihamasishana kutoaangalia tbc kabisa
 
TBC Mungu anawaona na kwakweli hamtutendei haki kabisa. Mmeonyesha live wagombea wote 35 wa vyama vingine, imefika zamu ya CHADEMA mmejitoa na kuleta kipindi cha ZINAZOKIKI. You guys what you are doing is very unfair.

Hii ndio sababu wananchi wameamua kuwaweka kando.
Tuanzishe ksmpeni

##ACHANA NA TBC##
 
TBC wanazan kufanya hivyo ndo kutampaisha Jiwe,mtalazimisha watu wampende,ila mioyon mwao wanamchukia sana,
 
Mkuu ni mwendelezo ule ule wa kuhakikisha Lissu haonyeshwi kwenye TV Stations zote Nchini na pia habari zake kutoandikwa kwenye magazeti yote Nchini ili kutimiza maagizo rasmi ya yesu fake.



TBC Mungu anawaona na kwakweli hamtutendei haki kabisa. Mmeonyesha live wagombea wote 35 wa vyama vingine, imefika zamu ya CHADEMA mmejitoa na kuleta kipindi cha ZINAZOKIKI. You guys what you are doing is very unfair.

Hii ndio sababu wananchi wameamua kuwaweka kando.
 
TBC inatia kichefuchefu...
Cha ajabu TBC inaongozwa na msomi, mwandishi nguli, na mkufunzi wa ngazi ya Chuo Kikuu. Nina makala zake kutoka gazeti la Rai enzi za Jenerali Ulimwengu, nashindwa kuelewa huyu ndio yule Ryoba wa Rai au ni mwingine.
Kumbe ni kweli ' Mchawi mpe mwana amlee, hawezi kumloga'. Na adui yako mpe njaa halafu muonyeshe mkate wa siagi! Nilipenda sana kusoma makala zake enzi hizo sijui akizisoma yeye mwenyewe leo atajisikiaje hakika. Nikipata muda nitazipakia humu baadhi ya hizo makala.
 
Back
Top Bottom