Kwan Facebook na Citizen tv havipo live?TBC Mungu anawaona na kwakweli hamtutendei haki kabisa. Mmeonyesha live wagombea wote 35 wa vyama vingine, imefika zamu ya CDM mmejitoa na kuleta kipindi cha ZINAZOKIKI....You guys what you are doing is very unfair.
Hii ndio sababu wananchi wameamua kuwaweka kando.....
kaka hii ni hatari sana kaka
tulia dada au mmeo bado hajarejea nyumbani??Angalieni BBC na DW zenu Sasa nyau nyie.
Wanalipwa mishahara kwa pesa za walipa kodi wote lakini wanaifanyia kazi CCM ni matumizi mabaya ya pesa ummaTBC Mungu anawaona na kwakweli hamtutendei haki kabisa. Mmeonyesha live wagombea wote 35 wa vyama vingine, imefika zamu ya CHADEMA mmejitoa na kuleta kipindi cha ZINAZOKIKI. You guys what you are doing is very unfair.
Hii ndio sababu wananchi wameamua kuwaweka kando.
Wewe ndo mzazi mwenyewe haswaa yaani shetani mwenyewehao ni wanawashetani mkuuu wasikupe taabu dawa ni 28 october
TBC ni TV ya hovyo hovyo sanaOoh sisi hatutazami TBC!!
Unacho takiwa kufanya ni kufuta kwemye akili yako kwamba kuna mdudu anaitwa Tbc. Hapo utakuwa na amani ya roho.. Mimi hata ukiniuliza tbc ni nini sikumbuki tena.Sielewi hapa kinachoendelea, nasubiri mchakato wa kuwatea wagombea wawili wa kiti cha Urais ukamilike mara naona mauzauza. Lengo ni nini, au mnadhani akikatwa kimyakimya Wananchi hawatajua kuwa hila imetumika?
Kuna channel wanarusha live sasa ili nicheki?
Tuanzishe ksmpeniTBC Mungu anawaona na kwakweli hamtutendei haki kabisa. Mmeonyesha live wagombea wote 35 wa vyama vingine, imefika zamu ya CHADEMA mmejitoa na kuleta kipindi cha ZINAZOKIKI. You guys what you are doing is very unfair.
Hii ndio sababu wananchi wameamua kuwaweka kando.
TBC Mungu anawaona na kwakweli hamtutendei haki kabisa. Mmeonyesha live wagombea wote 35 wa vyama vingine, imefika zamu ya CHADEMA mmejitoa na kuleta kipindi cha ZINAZOKIKI. You guys what you are doing is very unfair.
Hii ndio sababu wananchi wameamua kuwaweka kando.
TBC ni TV ya hovyo hovyo sana
Cha ajabu TBC inaongozwa na msomi, mwandishi nguli, na mkufunzi wa ngazi ya Chuo Kikuu. Nina makala zake kutoka gazeti la Rai enzi za Jenerali Ulimwengu, nashindwa kuelewa huyu ndio yule Ryoba wa Rai au ni mwingine.TBC inatia kichefuchefu...