TBS Bandarini kichaka cha upigaji

Marwhwmu huyo ndie alileta huu mfumo
 
Watu wanatumia Fursaaaaa
 
Hii nchi ni kitu cha ajabu sana, inaenda kwa mfano wa tamaa za watu na si utaratibu wa watu, ila iko siku mambo yatakaa tu
 
Magufuli huyo! Mzee alikuwa shetani kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…