Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mstari wa mwisho ndio formula yangu popote ninapopiga kaziNa wao wanafamilia ya kulisha, cha muhimu hapa TZ ukipata nafasi ya kupiga wewe Piga.
Marwhwmu huyo ndie alileta huu mfumoAliye leta huu mfumo sijui alikusudia nini. Kuna nchi zina wakaguzi waoJapan ambapo ndipo asilimia kubwa ya magari hutoka. Mfano Intertek Mozambique. Kama serikali ilikusudia kujipatia mapato makubwa ya ada za ukaguzi, basi wangepeleka wataalam wake huko waweke center zao za ukaguzi. Gari ikikaguliwa kulekule ika fail inspection mteja unakua na option ya kuchagua gari nyingine, ikikaguliwa hapa nchini ika fail inspection inakulazimu tuu utoe rushwa ili upewe gari yako
I never complain mkuuWe endelea kuwa na hiyo mentality, utakua mlalamishi kila siku.
I suipport sisi wote wezi sema wengine tunakosa nafasi[emoji23]Na wao wanafamilia ya kulisha, cha muhimu hapa TZ ukipata nafasi ya kupiga wewe Piga.
Watu wanatumia FursaaaaaUkaguzi wa magari (imported) Sasa unafanyika nchini tofauti na mwanzoni. Sasa Hawa ndugu zetu wameamua kucheza na beat ili kuvuna. Inspection tests (report) zinaandikwa"FAIL" ili ujiongeze, ukijidai Nunda yatakukumba ya Kwa msisi. Asanteni, ila mtafika mkiwa mmechoka sana
Kumbe ndiyo maana uliwapiga wale jamaa kwa kuwauzia trailer kimeo [emoji2][emoji2][emoji2]Na wao wanafamilia ya kulisha, cha muhimu hapa TZ ukipata nafasi ya kupiga wewe Piga.
Magufuli huyo! Mzee alikuwa shetani kabisa!Aliye leta huu mfumo sijui alikusudia nini. Kuna nchi zina wakaguzi waoJapan ambapo ndipo asilimia kubwa ya magari hutoka. Mfano Intertek Mozambique. Kama serikali ilikusudia kujipatia mapato makubwa ya ada za ukaguzi, basi wangepeleka wataalam wake huko waweke center zao za ukaguzi. Gari ikikaguliwa kulekule ika fail inspection mteja unakua na option ya kuchagua gari nyingine, ikikaguliwa hapa nchini ika fail inspection inakulazimu tuu utoe rushwa ili upewe gari yako