chariti
JF-Expert Member
- Aug 18, 2023
- 362
- 748
wewe unatumia mchele wenye virutubisho wakuchanganyie na broiler chicks mimi sili wala sitaki wanangu waguse, sijawahi choma chanjo yoyote nikiwa na akili timamu kuanzia za mabusha na Hepatitisi B, wala korona namkumbuka magufuli namshukuru sana, chanjo ni biashara za wabinafsi wa dunia hii. chakula chenye virutubisho havifai hata kwa wanyama wa kufugwa umeuza wapi akili zako.Ila ARV, chanjo, na madawa mengine je? Hivi nyie mko timamu?