Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan hao tbs wamepima bila kupewa maelekezo.Swala sio usalama,kwani Tanzania tuna njaa Hadi tupewe Msaada? Hoja ni kuidhalilisha Nchi.
Pia Waziri amesema waje wanunue mazao yetu.Mwisho angekuwa Mwendazake angestamtimua Mkurugenzi wa TBS
Wakitupa vitu tunataka tunawaida wadau wa maendeleo🤣, tukipishana kifogo ni mabeberu🤣Halafu kesho tunawaita mabeberu!!!
We kichwa mbovu sana, nani anayefadhili miradi mikubwa ya afya hapa nchini? Maabara za kisasa kwenye bahadhi ya hospitali zimejengwa kwa ufadhili wa nani? Miradi mikubwa ya kuthibiti malaria, Kifua kikuu, Minyoo HIV/AIDS, nk inafadhiliwa na nani? Miradi ya kilimo, lishe, maji nk, inafadhiliwa na nani.Swala sio usalama,kwani Tanzania tuna njaa Hadi tupewe Msaada? Hoja ni kuidhalilisha Nchi.
Pia Waziri amesema waje wanunue mazao yetu.Mwisho angekuwa Mwendazake angestamtimua Mkurugenzi wa TBS
Yawezekana upo sahihi kaka ila wamarekani wenyewe wanasema hiviHakuna chandarua cha mbu kinachoagizwa kutoka marekani, marekani ndiyo wanaoagiza hapa kwetu na kuzisaidia nchi nyingine.
Bashe tapeliWe kichwa mbovu sana, nani anayefadhili miradi mikubwa ya afya hapa nchini? Maabara za kisasa kwenye bahadhi ya hospitali zimejengwa kwa ufadhili wa nani? Miradi mikubwa ya kuthibiti malaria, Kifua kikuu, Minyoo HIV/AIDS, nk inafadhiliwa na nani? Miradi ya kilimo, lishe, maji nk, inafadhiliwa na nani.
Mlishaamua kutuingiza kwenye umaskini tulieni wanaume wawalishe, Bashe naye chenga nyingi tu.
Wajinga wajinga kama nyinyi ndo mnatufikisha hapa chawacracySwala sio usalama,kwani Tanzania tuna njaa Hadi tupewe Msaada? Hoja ni kuidhalilisha Nchi.
Pia Waziri amesema waje wanunue mazao yetu.Mwisho angekuwa Mwendazake angestamtimua Mkurugenzi wa TBS
Ni janja janja sana, wameenda kuteketeza mabilioni kwenye mradi wa kipumbavu wa BBT, anabaki maneno mengi bila mikakati. Na tuliwaambia hiyo approach ni ya kipumbavu, sasa BBT inakufa kifo cha mende na mabilioni yanakwenda kupotea bure bure tu.Bashe tapeli
Tanzania hatuna mchele mpaka tuletewe msaada kutoka marekani? Kwanini wasitowe fedha tununue kwa wakulima wetu hapa hapa nchini?
Bado dawa za HIVWe kichwa mbovu sana, nani anayefadhili miradi mikubwa ya afya hapa nchini? Maabara za kisasa kwenye bahadhi ya hospitali zimejengwa kwa ufadhili wa nani? Miradi mikubwa ya kuthibiti malaria, Kifua kikuu, Minyoo HIV/AIDS, nk inafadhiliwa na nani? Miradi ya kilimo, lishe, maji nk, inafadhiliwa na nani.
Mlishaamua kutuingiza kwenye umaskini tulieni wanaume wawalishe, Bashe naye chenga nyingi tu.
Huu mradi toka nisikie watawapa kipaumbele wanafunzi waliomalia SUA ili wakapate mafunzo sina imani nao hata kidogo, kama mwanafunzi wa chuo vha kilimo hana mafunzo sisi wakulima wa kushika panga itakuajeNi janja janja sana, wameenda kuteketeza mabilioni kwenye mradi wa kipumbavu wa BBT, anabaki maneno meni bila mikakati. Na tuliwaambia hiyo approach ni ya kipumbavu, sasa BBT inakufa kifo cha mende na mabilioni yanakwenda kupotea bure bure tu.
Nakazia sisi tuendelee kuwauliza viongozi wetu tu, na janja janja za bashe zipo ukiongoniMlaumu aliteenda kutembeza bakuli huko
tajiri huwa hapangiwi akupaje msaada.
Waziri hajasema wali ni mbovu,Kwa taharifa hii toka TBS inatosha kumwajibisha Waziri
Tanzania hatuna mchele mpaka tuletewe msaada kutoka marekani? Kwanini wasitowe fedha tununue kwa wakulima wetu hapa hapa nchini?