TBS: Mchele, mafuta ya kupikia ya alizeti na maharage kutoka Marekani, ni Salama kwa Walaji

TBS: Mchele, mafuta ya kupikia ya alizeti na maharage kutoka Marekani, ni Salama kwa Walaji

Swala sio usalama,kwani Tanzania tuna njaa Hadi tupewe Msaada? Hoja ni kuidhalilisha Nchi.

Pia Waziri amesema waje wanunue mazao yetu.Mwisho angekuwa Mwendazake angestamtimua Mkurugenzi wa TBS
We kichwa mbovu sana, nani anayefadhili miradi mikubwa ya afya hapa nchini? Maabara za kisasa kwenye bahadhi ya hospitali zimejengwa kwa ufadhili wa nani? Miradi mikubwa ya kuthibiti malaria, Kifua kikuu, Minyoo HIV/AIDS, nk inafadhiliwa na nani? Miradi ya kilimo, lishe, maji nk, inafadhiliwa na nani.
Mlishaamua kutuingiza kwenye umaskini tulieni wanaume wawalishe, Bashe naye chenga nyingi tu.
 
Hakuna chandarua cha mbu kinachoagizwa kutoka marekani, marekani ndiyo wanaoagiza hapa kwetu na kuzisaidia nchi nyingine.
Yawezekana upo sahihi kaka ila wamarekani wenyewe wanasema hivi




Screenshot_20240318_080111_Chrome.jpg
 
We kichwa mbovu sana, nani anayefadhili miradi mikubwa ya afya hapa nchini? Maabara za kisasa kwenye bahadhi ya hospitali zimejengwa kwa ufadhili wa nani? Miradi mikubwa ya kuthibiti malaria, Kifua kikuu, Minyoo HIV/AIDS, nk inafadhiliwa na nani? Miradi ya kilimo, lishe, maji nk, inafadhiliwa na nani.
Mlishaamua kutuingiza kwenye umaskini tulieni wanaume wawalishe, Bashe naye chenga nyingi tu.
Bashe tapeli
 
Swala sio usalama,kwani Tanzania tuna njaa Hadi tupewe Msaada? Hoja ni kuidhalilisha Nchi.

Pia Waziri amesema waje wanunue mazao yetu.Mwisho angekuwa Mwendazake angestamtimua Mkurugenzi wa TBS
Wajinga wajinga kama nyinyi ndo mnatufikisha hapa chawacracy
 
Bashe tapeli
Ni janja janja sana, wameenda kuteketeza mabilioni kwenye mradi wa kipumbavu wa BBT, anabaki maneno mengi bila mikakati. Na tuliwaambia hiyo approach ni ya kipumbavu, sasa BBT inakufa kifo cha mende na mabilioni yanakwenda kupotea bure bure tu.
 
Kwahiyo Bashe inabidi ajiuzulu au Mama amtumbue kwasababu hajui kinachoendelea kwenye wizara yake,lakini kwa Tz hilo litapita tu kama mengine......
 
We kichwa mbovu sana, nani anayefadhili miradi mikubwa ya afya hapa nchini? Maabara za kisasa kwenye bahadhi ya hospitali zimejengwa kwa ufadhili wa nani? Miradi mikubwa ya kuthibiti malaria, Kifua kikuu, Minyoo HIV/AIDS, nk inafadhiliwa na nani? Miradi ya kilimo, lishe, maji nk, inafadhiliwa na nani.
Mlishaamua kutuingiza kwenye umaskini tulieni wanaume wawalishe, Bashe naye chenga nyingi tu.
Bado dawa za HIV
 
Ni janja janja sana, wameenda kuteketeza mabilioni kwenye mradi wa kipumbavu wa BBT, anabaki maneno meni bila mikakati. Na tuliwaambia hiyo approach ni ya kipumbavu, sasa BBT inakufa kifo cha mende na mabilioni yanakwenda kupotea bure bure tu.
Huu mradi toka nisikie watawapa kipaumbele wanafunzi waliomalia SUA ili wakapate mafunzo sina imani nao hata kidogo, kama mwanafunzi wa chuo vha kilimo hana mafunzo sisi wakulima wa kushika panga itakuaje
 
Back
Top Bottom