TBS tunaomba kuangalia hiki kinywaji K-vant

Mnaisingizia labda ni kwa mtu mmoja mmoja..

Kiapindi namalizia elimu yangu nilikuw siwez kusoma kipindi cha pepa za chuo bila VANT na nilikuw nafumua vzr tu.. sas sijui hili tatzo

(mie sio mnywaji wa mara kwa mara nawez maliza mwez sijagusa kilevi cha aina yeyote)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…