ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ni kweli asee Cha ajabu kila kitu utafanya perfect
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!! noma sanaNilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli asee Cha ajabu kila kitu utafanya perfect
Nadhani TBS hawafanyi kazi vizuri! Vinywaji Vikali vingi ni Feki! Sabuni za kuogea nyingi ni feki, mfano ni sabuni ya deto na nyinginezo, dawa za miswaki ndio kabisaa ubora ni sifuri!Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
Na nguvu za kiume pia!Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Sio kinapoteza kumbukumbu mkuu...kinadelete na kufuta kabisa! Sijui why
Yes kuna dettol hazina ile smell kbs ya dettolNadhani TBS hawafanyi kazi vizuri! Vinywaji Vikali vingi ni Feki! Sabuni za kuogea nyingi ni feki, mfano ni sabuni ya deto na nyinginezo, dawa za miswaki ndio kabisaa ubora ni sifuri!
TBS piteni kwenye hayo masuper market chukueni sample mjionee watu wanavyokula sumu! Cancers nyingi Tanzania zinazalishwa na hizi bidhaa!
ni kweli ukizidisha sana unasahau km una Ke au Me!
Hapana mkuu! Hatunywi za vibanda umiza...yaan k vant ukiamka asbh haina hangover ndo nachoipendea lakini inadelete kbs kumbukumbu! Yaan inafuta kbs !Mnakunywa Vant wapi tandika au buza? jitahidi kununua katika bar au duka linaloeleweka, hio kitu haina shida yyte, mi nagonga nzima na ninaamka fresh kbs, acheni kuharibu brand za watu.
Kwamba unasahau yaliyotokea jana?? Nilirud kwenye konyagi baada ya kuwa nikinywa kidg inanipelekesha bora konyagi kwa upande wangu.Hapana mkuu! Hatunywi za vibanda umiza...yaan k vant ukiamka asbh haina hangover ndo nachoipendea lakini inadelete kbs kumbukumbu! Yaan inafuta kbs !
Duu mwana umemaliza kabisa elimuMnaisingizia labda ni kwa mtu mmoja mmoja..
Kiapindi namalizia elimu yangu nilikuw siwez kusoma kipindi cha pepa za chuo bila VANT na nilikuw nafumua vzr tu.. sas sijui hili tatzo
(mie sio mnywaji wa mara kwa mara nawez maliza mwez sijagusa kilevi cha aina yeyote)
Mm nyagi sitaweza inywa kali mno! Mm hua nasahau hata nimefikaje hom🤭..nasahau hata njia niliyopita..sasa naonaga aibu kuuliza wanangu..wakianza ongea ndo natega sikio kuwa tulipita njia fulan..arghh nimeiacha mazima! Nimejikabidhisha kwa desperado tuKwamba unasahau yaliyotokea jana?? Nilirud kwenye konyagi baada ya kuwa nikinywa kidg inanipelekesha bora konyagi kwa upande wangu.
Atiii[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]ni kweli ukizidisha sana unasahau km una Ke au Me!
Madame B: leo uje tuikunywe , tukutane TERMINAL PUB-Msanvu🤓🤓🤓Yeah...chunguza.
Huwa zinaleta ashki sana.
Me binafsi naipenda.